Habari wapendwa mm ni mama wa mtoto mmoja sasa ni miezi nane yapita tangu mm na mwenzi wangu tuanze kutafuta mtoto , katika kuhangaika kuna mtu akamshauri atumie mbegu za nyonyo akatumia lakini hatukufanikiwa , nashindwa kuelewa tatizio ni nn naombeni msaada wa mawazo .