Mziki ni kuweka hizo driver maana yabidi atafute PC nyingine azidownload na kuziburn kwenye CD then akainstall kwenye PC yake au aifanye HDD yake kuwa external akopy hizo driver alafu airudishe kwa PC yake afanye installation
Mziki ni kuweka hizo driver maana yabidi atafute PC nyingine azidownload na kuziburn kwenye CD then akainstall kwenye PC yake au aifanye HDD yake kuwa external akopy hizo driver alafu airudishe kwa PC yake afanye installation
Kulingana na maelezo ya jamaa ni kwamba alichomoa HDD akachomeka kwenye PC nyingine isiyoingiliana na yake akashusha windows huko then akairudishia kwenye PC yake so hakuna cha Kurefresh wala nini dawa ni kurudi huko pembeni kudownload driver then airudishe kwako na kuiziinstall mchezo kwisha