reen elius em
Member
- May 17, 2014
- 56
- 5
habarin ndugu zangu,mimi nina mimba ya mwezi mmoja lakin kuna utofaut niliona,nilianza kuumwa sana tumbo gafla afu damu zikaanza kunitoka lakin nikaulza nilijibiwa ni kawaida damu inaeza kutoka kidgo wakat una mimba,cha ajabu damu ziliendelea kutoka kwa mda wa wiki nzima yani kama nmeingia hedhi na tumbo linauma,mwsho damu zikakat,kuna rafk angu nkamhadithia kilchontokea akadai ni tatzo,nkanunua kipimo nilipopima nkakuta mistar miwil mmoja uko wa mbali mno yaan wakat nilipopma mara ya kwanza ilikua yote inaonekana mistar miwil jamni nisaidien ni hali ya kawaida tu au ni tatizo
Habarini ndugu zangu,
Mimi nina mimba ya mwezi mmoja lakin kuna utofaut niliona,nilianza kuumwa sana tumbo gafla afu damu zikaanza kunitoka.
Lakini nikaulza nilijibiwa ni kawaida damu inaeza kutoka kidogo wakati una mimba.
Cha ajabu damu ziliendelea kutoka kwa mda wa wiki nzima yani kama nmeingia hedhi na tumbo linauma,mwisho damu zikakata.
Kuna rafiki yangu nikamhadithia kilichontokea akadai ni tatizo, nikanunua kipimo nilipopima nikakuta mistari miwili mmoja uko wa mbali mno yani wakati nilipopma mara ya kwanza ilikua yote inaonekana mistari miwili.
Jamani nisaidien ni hali ya kawaida tu au ni tatizo?