Msaada: Nimekwama application ya NACTE


angalia kwenye email mara nyingi msg inakuja kama spam message. so check kwenye spam message. ila ucheleweshwaji huo upo sijui tatizo lao.
 

Kwenye website yao wana namba za simu ziko kikanda chukua ya kanda ulipo au yoyote itakayo patikana then utaongea nao! Na Mara nyingi huwa hawapokei simu watakubia Tuma sms ya tatizo lako! Watakuhudumia na utaipata hiyo password! Hata Mimi ilinitokeaga hiyo na wakaisolve vizuri tuu
 
sawa Mkuu!! nashukuru ndugu yangu
 
Jamaani haya malalamiko yaneyoelekezwa nacte itakuwa ya watoto wa f6 maana kusoma hawakutaka sasa wanaisoma number. Vumilieni huko nate ndio mkombozi mwaka huu chezea awamu ya tano!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…