Hahaha kusafiri mpaka Namibia kwa basi pitia Zambia au Malawi mabasi mengi nauli kutoka Tz mpaka Namibia ni 150000, kuwa na dollar mfukoni, utatumia siku Tatu kufika kuhusu kazi ujipange Namibia hawaruhusu wageni kufanya kazi... Nenda swakopmund au WindhoekHabari wakuu naomba msaada ,nataka kuanza safari ya kwenda Namibia kwa njia ya basi je inawezekana kwanza?pili niwe na document zipi ili nisisumbuliwe njiani,na niandae kiasi gani njiani ,na wanatumia hela gani huko? Mwisho kazi gani za ovyoovyo naweza kupata fasta na mkoa/jimbo gani kuna fursa kubwa ya ajira huko Namibia,
Nenda Chato hizo fursa unazozifuata Namibia utazipata pale.
Asante sana mkuu nimepata pa kuanziaHahaha kusafiri mpaka Namibia kwa basi pitia Zambia au Malawi mabasi mengi nauli kutoka Tz mpaka Namibia ni 150000, kuwa na dollar mfukoni, utatumia siku Tatu kufika kuhusu kazi ujipange Namibia hawaruhusu wageni kufanya kazi... Nenda swakopmund au Windhoek
Ok mkuuAsante kwa jibu lako zuri kada
kuna tangazo la kazi lina pita humu lina toka huko namibia... sasa sijui wewe una lielezeaje lile tangazo? pili, mkuu upo namibia?Hahaha kusafiri mpaka Namibia kwa basi pitia Zambia au Malawi mabasi mengi nauli kutoka Tz mpaka Namibia ni 150000, kuwa na dollar mfukoni, utatumia siku Tatu kufika kuhusu kazi ujipange Namibia hawaruhusu wageni kufanya kazi... Nenda swakopmund au Windhoek
Safari njema mkuu.Habari wakuu naomba msaada,
Nataka kuanza safari ya kwenda Namibia kwa njia ya basi.
Je inawezekana kwanza? Pili niwe na document zipi ili nisisumbuliwe njiani na niandae kiasi gani njiani na wanatumia hela gani huko?
Mwisho kazi gani za ovyoovyo naweza kupata fasta na mkoa/jimbo gani kuna fursa kubwa ya ajira huko Namibia?.
Mchanga wa chuma umenikumbusha mbali sana usemi huoNamibia miaka ya nyuma tulikua tunapaita mchanga wa chuma hapachimbiki kitu...anza safari Tunduma mpaka Lusaka tsh 40,000 na ukifika Lusaka zipo bus za moja kwa moja pale intercity nauli ni kama Tsh 100,000 mpaka Windhoek kupitia Sesheke kote huko sijui Namibia,Botswana life kwa wageni kuanza ni kazi kidogo South Africa mpaka kesho itabaki kuwa kiwanja inategemeana na umejipangaje na una fani gani...Mnamibia anaitamani SA nae...
Namibia miaka ya nyuma tulikua tunapaita mchanga wa chuma hapachimbiki kitu...anza safari Tunduma mpaka Lusaka tsh 40,000 na ukifika Lusaka zipo bus za moja kwa moja pale intercity nauli ni kama Tsh 100,000 mpaka Windhoek kupitia Sesheke kote huko sijui Namibia,Botswana life kwa wageni kuanza ni kazi kidogo South Africa mpaka kesho itabaki kuwa kiwanja inategemeana na umejipangaje na una fani gani...Mnamibia anaitamani SA nae...
Mkuu pako vizuri tuu mimi truck zinapita Botswana harafu Zambia huko kwingine tulipita miaka hiyo hata Katima muliro daraja halijajengwa njia fupi ya kwenda Cape town au kutoka na gari kule maana Windhoek na Cape Town sio mbali kuliko kuitafuta Johannesburg tena 1500km..Mkuu bado Katima Murilo pako vizuri?
[emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji23] duuhNenda Chato hizo fursa unazozifuata Namibia utazipata pale.
Poa[emoji23] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji23] duuh
Habari wakuu naomba msaada,
Nataka kuanza safari ya kwenda Namibia kwa njia ya basi.
Je inawezekana kwanza? Pili niwe na document zipi ili nisisumbuliwe njiani na niandae kiasi gani njiani na wanatumia hela gani huko?
Mwisho kazi gani za ovyoovyo naweza kupata fasta na mkoa/jimbo gani kuna fursa kubwa ya ajira huko Namibia?.
asante sn mkuu nategemea january kuanza safari nitaleta mrejeshoNamibia miaka ya nyuma tulikua tunapaita mchanga wa chuma hapachimbiki kitu...anza safari Tunduma mpaka Lusaka tsh 40,000 na ukifika Lusaka zipo bus za moja kwa moja pale intercity nauli ni kama Tsh 100,000 mpaka Windhoek kupitia Sesheke kote huko sijui Namibia,Botswana life kwa wageni kuanza ni kazi kidogo South Africa mpaka kesho itabaki kuwa kiwanja inategemeana na umejipangaje na una fani gani...Mnamibia anaitamani SA nae...