Zaburi 23
JF-Expert Member
- Feb 22, 2017
- 570
- 662
Wakuu habarini za Asubuhi nna imani muwazima wa afya,
Mada kama inavyosomeka inajieleza. Nimekua nikisumbuliwa na maumiv ya kiuno ad nawaza inakuaje na nn tatzo nakumbuka kimeanza kama mwez mmoja uliopita niluchukulia simple maybe nmelala vibaya lakini naona Hili tatzo linazidi kuwepo.
Yalianza maumivu ya kawaida tu nikaenda Pharmacy kuna vidonge nikapewa pea mbili kumeza Asubuh na jioni pia nikapewa Dawa ya kuchua na nikashauriwa kufanya mazoea kutokana na kazi nnayofanya niya kukaa mda mrefu (dereva) maumivu yalipungua kama sio kukata kabisa, sasa jana maumivu nikawa nazogeza Sofa ndani kikafanya kama kushtuka maumiv yake syapatii picha kikauma balaaa nikatulia ad maumivu yakapungua.
Baadae usiku nikameza pain killer (mifupeni) na nikachue tena kwa ile dawa naona nimeamka maumivu yamepungua kidooogo (Namshukuru Mwenyezi MUNGU) japokua nikikaa maumivu nayahisi tena. sasa nilikua nahitaji Mwenye ujuzi wa dawa ambayo itakomesha haya maumivu. Yananifanya niwaze vitu vingi Age yangu ni 27. kihistoria sijawahi kuumwa kabla.
Ahsanteni...
Mada kama inavyosomeka inajieleza. Nimekua nikisumbuliwa na maumiv ya kiuno ad nawaza inakuaje na nn tatzo nakumbuka kimeanza kama mwez mmoja uliopita niluchukulia simple maybe nmelala vibaya lakini naona Hili tatzo linazidi kuwepo.
Yalianza maumivu ya kawaida tu nikaenda Pharmacy kuna vidonge nikapewa pea mbili kumeza Asubuh na jioni pia nikapewa Dawa ya kuchua na nikashauriwa kufanya mazoea kutokana na kazi nnayofanya niya kukaa mda mrefu (dereva) maumivu yalipungua kama sio kukata kabisa, sasa jana maumivu nikawa nazogeza Sofa ndani kikafanya kama kushtuka maumiv yake syapatii picha kikauma balaaa nikatulia ad maumivu yakapungua.
Baadae usiku nikameza pain killer (mifupeni) na nikachue tena kwa ile dawa naona nimeamka maumivu yamepungua kidooogo (Namshukuru Mwenyezi MUNGU) japokua nikikaa maumivu nayahisi tena. sasa nilikua nahitaji Mwenye ujuzi wa dawa ambayo itakomesha haya maumivu. Yananifanya niwaze vitu vingi Age yangu ni 27. kihistoria sijawahi kuumwa kabla.
Ahsanteni...