Msaada: Namtafuta Renata Mapunda

Baada ya kuwaonesha baba zangu picha za hao watoto wamekili kwa 99% huenda wakawa ni hao... Ishu ni last activity zao ni miaka 5 ilopita... Na friends zao pia hawajawa active mtandaoni..ila ninapambana..
Pita pia shule/vyuo walizosoma naamini wameweka kunakuaga na yale ma group ya shule hivyo ukimpata classmate mmoja tu anaweza kukupa connection
 
Kazaliwa tuseme 1953 ni mtu mzima miaka 70 huyu bado ana nguvu na akili timamu, labda tu kama ana maradhi ya akili.
 
Haya mambo ya kutafutana tafutana yanakujaga na disappointments, unampata mtu alafu wala hana muda na wewe wala hata ile shauku ya kukufahamu.
Ni kweli,.. ila tunahitaji sana kujua hali ya Shangazi..
 
Haya mambo ya kutafutana tafutana yanakujaga na disappointments, unampata mtu alafu wala hana muda na wewe wala hata ile shauku ya kukufahamu.

Facebook imewafundisha watu, haya mambo ya kutafutana ni kuchorana tu, sasa hivi wote wamekimbia facebook
 
Haya mambo ya kutafutana tafutana yanakujaga na disappointments, unampata mtu alafu wala hana muda na wewe wala hata ile shauku ya kukufahamu.
Kuna ndg wengine wao ndiyo huwa hawataki ukaribu na ndg zao kutokana na madhira waliofanyiana huko nyuma,wanaamua kukata mawasiliano,Sasa Watoto wakikua ndiyo wanaanza kutafuta ndg zao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…