Habari za jioni wanajamvi.
Naomba kwa yeyote mwenye ujuzi au anayejua namna ya ufugaji wa samaki. Upatikanaji wa mbegu, uchimbaji wa kisima, chakula, muda wa kuvuna toka kupanda na namna ya upatikanaji wa soko la uhakika.
Asante
Sent using
Jamii Forums mobile app