Wanajf naomba kama kuna yeyote ambaye anaweza kunisaidia au hata ushauri kwa hili tatzo langu;
Nimekuwa tajiri wa huzuni na masikini wa furaha toka nikiwa darasa la pili, nilianza kujitafutia matumizi madogomadogo kama vifaa vyote vya shule hii ni kwa sababu sikuwa karibu na wazazi baba aliondaka na kuniacha kwa kaka kwasababu ya kesi iliyokuwa ikimkabili wilayani Mwanga.
Na kipindi chote ambacho nilikaa kwa kaka sikuweza kununuliwa vifaa vya shule hii ilinipelekea kuanza kujishungulisha na kazi ya uvuvi ktk bwawa la Nyumba ya Mungu, nilitumia siku za weekend na hata siku za shule nikifanya kazi usiku bila kulala then adhuhuri nakwenda shule, nilifanya hivi mpaka namaliza form 4, 2009.Ingawaje kazi hii ili nisababishia kupelekwa mahakamani ana niliachiwa kwa kifungu kidogo nikiwa form3
Sikukata tamaa nikasomea utalii lakini fani hii inatupasa kujua lugha zaid ya1 na mm najua english, pia leseni ya udereva na mm sina fedha za kuongeza lugha wala kusomea udereva.
Naombeni msaada wenu
Nimekuwa tajiri wa huzuni na masikini wa furaha toka nikiwa darasa la pili, nilianza kujitafutia matumizi madogomadogo kama vifaa vyote vya shule hii ni kwa sababu sikuwa karibu na wazazi baba aliondaka na kuniacha kwa kaka kwasababu ya kesi iliyokuwa ikimkabili wilayani Mwanga.
Na kipindi chote ambacho nilikaa kwa kaka sikuweza kununuliwa vifaa vya shule hii ilinipelekea kuanza kujishungulisha na kazi ya uvuvi ktk bwawa la Nyumba ya Mungu, nilitumia siku za weekend na hata siku za shule nikifanya kazi usiku bila kulala then adhuhuri nakwenda shule, nilifanya hivi mpaka namaliza form 4, 2009.Ingawaje kazi hii ili nisababishia kupelekwa mahakamani ana niliachiwa kwa kifungu kidogo nikiwa form3
Sikukata tamaa nikasomea utalii lakini fani hii inatupasa kujua lugha zaid ya1 na mm najua english, pia leseni ya udereva na mm sina fedha za kuongeza lugha wala kusomea udereva.
Naombeni msaada wenu