Hii kali kuliko, alisahau akajishauri bila kuingia na ile id nyengine!...
Ndio mana MMU inaboa siku hizi manake watu wako busy kutunga hadithi na kuzifanya ni matatizo serious, watu wanajipinda kumwaga maushauri kumbe walaaaaaaa!,.. Bora NN hajaumiza kichwa lol.