msaada:.motorola droid pro xt 610

DAVIES

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
516
Reaction score
90
habari wanajamvi; naombeni m
aelekezo jinsi ya kuunga simu hii na internet ya tigo wadau. natanguliza na shukrani
 
settings>wireless & networks>mobile networks>access point name
(new apn)
name:davies
apn:internet
apn type:default


sehemu nyingine ziache wazi kama zilivyo,baada ya hapo

save and enable.enjoy
 
settings>wireless & networks>mobile networks>access point name
(new apn)
name:davies
apn:internet
apn type:default


sehemu nyingine ziache wazi kama zilivyo,baada ya hapo

save and enable.enjoy

Thanks sana nimefanikiwa. Kweli sikukosea kujiunga na jukwaa hili hakika najivunia @ john hatsam da1
 
Msaada nahitaji settings za tigo kwenye internet apn simu ni android pad phone. Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…