First huduma ya afya imetanuka sana Tanzania, nenda hospital inawezekana kuna tiba itakusaidia.
Second, dawa ya bishoo ni kuwa bishoo zaidi yao, so pamabana mambo yako yawe mazuri mbeleni waje kukuomba kazi then uwaajiri kwa mbwembwe na kuwatumikisha kama punda.
Lastly, asilo na hili ana lile, kila mtu anaudhaifu wake, wewe wako unaonekama wa wengine unaweza usiwe unaonekana, so no worries, mungu hakukosea kikuomba hivo, anasababu kamili ya kukifanya kuwa hivo, just do your best na utaona mambo yako yanafunguka huko mbeleni.