Tusidanganyane hapa,jamaa yangu yupo mwenge analitumia kwa wiki mara moja,nijini lile sio gari,nikweli kabisa km 6 kwa lita tena inaweza hata kupungua,alikuwa anatumia laki unusu kwa siku tano tu na hapo ni root ya mwenge to temeke,achakabisa hiyo gari razima uwe na urafiki na watu wa