Msaada: Maji ukeni baada ya tendo

It need specialist consultation, so hurry up before the disease become more severe and serious than that...
 
Hapo kwenye heading umeandika mani ukeni, ulikuwa unamaanisha manii au maji.
 
Habari wanajamvi, Hope mpo poa

Nina shida ambayo inanifanya nisipate usingizi, Nina kama Siku tatu ivi ili tatizo linanipa wakati mgumu, na sijajua Kama ni kawaida au ni tatizo kama ninavyohisi,
Sababu natokwa na maji mepesi ya rangi ya njano, si mengi sana ila si ya kawaida sababu aijawahi kunitokeaga ivi kabla,
Yananipa wakati mgumu mpaka kuwaza siyo,
Navyojua kabla ya hedh nikiwa naerekea huwaga yanatoka lakin si kwa kiwango ichi.
Msaada wenu wanajamvi..
Vp ulipona my
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom