Hivi mtu ukisema una budget ya 50K maana yake ni kwamba unakuwa na 50K net au unakuwa na zaid ya hiyo ila umepanga kutumia 50K tu?
Binafsi, siwezi kutoka na mwanamke jijini Dsm nikiwa na 50K tu mfukoni. Ni hatari sana. Hatari mno. Sema tu ni vile tunatofautiana.
Mwenye masikio na asikie
Hii ndio enyewe Sasa afuate huu ushaurii.Nunuwa kuku wa kienyeji mmoja mbanike kaanga ndizi na vichipsi tengeneza na sotojo la maini kanunuwe wine ya bei rahisi mwite mchumba aje muenjoy 50k ni ndogo sana kwa outing labda peke ako
Sasa mkuu kwa bajeti yako si bora ww unywe maji dem ale vizur mpeleke fish market utojutia kabisaMkuu, umenivuruga sana ulivotaja sehem nyingi.
Hebu tufanye ndio wewe unataka umtoe msichana out (jioni kuanzia saa moja hadi sita usiku). Nimeona umetaja maeneo ya beach, inapendeza kwenda beach usiku kweli?
Kumbuka tunatoke evening dinner. Haya, tuseme saa mbili usiku.
Hela unayo, lakin umeweka limit max utumie 30k mpaka 40k.
Mlimani City (mle ndani) tupatoe maana rafiki zake wengi naweza kutana nao, itakua jau.
Naomba uniwekee sehem tatu most recommended kwa mazingira hayo. Wote hatunywi pombe.
Nataka leo jioni nimtoe out. Nampenda sana
Wewe jamaa ni wa ukweli sanaa.Outing ina mambo mengi mkuu
40k budget
1 pizza hut iliyopo maeneo ya mkuki mall
Hapo mtapata menu yenu kali sana mfano my box ni 16.k combo ya pizza chiken soda chips pitia kwa page yao utaiona
2 shawarma 27 asikuambie mtu wanawake wanapenda kula hapa utapata kisinia cha watu wa 2 kisicho zidi 25k combo ya kutosha ya kula ku relax na mtu wako kwa hapa town hilo ni chimbo namba 1 kwa outing upande wa kula kula
3 cinema aura mall karibu na kfc pale hapa mzee inabid upitie page yao uone ratiba ya movies zilizopo na manzi yako anapendelea nini keep it mind wahuni tunapo zungumzia movie cinema hua haiishii hapo
It means unabaki na akiba ya kumtoa mtoto sehemu ya kula cones bites...( cinema 2* 20k popcorn junks + soda 10k) after sinema bakhresa scoop cones ni 2k and 3k the best ones hapo umemtoa out mtoto anaona ume spend kumbe kiuhuni tu ili mradi ka enjoy adventure yenu
Dinner
Hapa bana ngoj wavitengo hivi waje wakupe maelekezo kwa budget ya 40k msosi wa wawili ina fancy place kama golden tulip serena hyatt its possible ila andaa pesa ya emergency uchelew kuskia menu zinaanzia 35k mlo wa mtu mmoja hapo hamna juice wala nini
Mkuki ipo pale kariakooo kama unaenda gongolambotoWewe jamaa ni wa ukweli sanaa.
Katika hizo sehemu tatu nimeikubali hiyo Pizza Hut. Kwanza gharama haizidi 30k safiii.
Umesema ipo Mkuki Mall... Ni maeneo gani hayo .. kule Posta?
Hizo sehem zingine sijazikubali kivile.
Nielekeze hiyo Pizza Hut iko wapi mkuu. Ngoja nimpigie kabisa simu mtoto ajiandae.
Nimeona aisee...Mkuki ipo pale kariakooo kama unaenda gongolamboto
Nenda sinza paleNimeona aisee...
Daah kule mbali sana.
Yaani tufunge safari kutoka Ubungo hadi Kariakoo kisa kula Pizza 🍕!!
Bora nifikirie chimbo lingine tu.
Ngoja niendeeee... Sijui niende wapi, mmmhhh... Duh.
Unatumia kiti moto
Goba center, unabaki na salioWaungwana kwema?
Wale wa kataa ndoa endeleeni ninawatia moyo ili mtafute amani yenu na sisi tunaotaka kuoa tuwe makini kuchagua na wenye majukumu ya kitaifa tunawatia moyo
Ninaulizia sehemu nzuri ambayo ina hadhi ambapo ninaweza mpeleka manzi kwa ajili ya dinner kwa gharama isiyozidi 50000
Natanguliza shukrani
Starehe gharama bloody watu wanakaa gongo la mboto mtoto anakaa goba ila pizza hut inaendeka kwa budget ya almost 40k ndo tunavoishi naoNimeona aisee...
Daah kule mbali sana.
Yaani tufunge safari kutoka Ubungo hadi Kariakoo kisa kula Pizza!!
Bora nifikirie chimbo lingine tu.
Ngoja niendeeee... Sijui niende wapi, mmmhhh... Duh.
FactsStarehe gharama bloody watu wanakaa gongo la mboto mtoto anakaa goba ila pizza hut inaendeka kwa budget ya almost 40k ndo tunavoishi nao
its just matter of jee anaridhika na ulicho nacho is she free with you anaile autonomy and flexibility ya ku enjoy na mfuko ulio jaalowa mfano
Mnaweza panda bolt toka ubungo tu posta its like nijaribu ku search hapa on bolt kwa boda ni 6-7k per trip kwa gari ni 13k per trip yani kama ni go and return ni almost 15k kwa boda na 22k budget per car kitu ambacho kama mwanaume lazima uoneshe uwanaume wako mbele ya mtu wako ndio umwamba yani una fanya jambo laku create memories kweny kichwa chake
Mimi sometimes bro huwa tunachukua hata mwendo kasi ujue kitu ina itwa outing watu wana claim kama ni jambo la fasta fasta tu hapana kwa mwanamke ni anataka a enjoy every second ya hio moment mkiwa wawili hata kama mtakula ice cream at least she is happy with the moment mnayo spend together
Kwa unavosema upo ubungo i guess sinza na tabata zinaweza kuwa location kali ni chap tu kwenda kurudi
Make her happy bro usituangushe you got it king
Branch zingine za Pizza hut zipo Oysterbay, na Mikocheni sio lazima mkukiWewe jamaa ni wa ukweli sanaa.
Katika hizo sehemu tatu nimeikubali hiyo Pizza Hut. Kwanza gharama haizidi 30k safiii.
Umesema ipo Mkuki Mall... Ni maeneo gani hayo .. kule Posta?
Hizo sehem zingine sijazikubali kivile.
Nielekeze hiyo Pizza Hut iko wapi mkuu. Ngoja nimpigie kabisa simu mtoto ajiandae.
Unataka na hiyo 50K aende Sea cliff?? Na yuko na pisi?Mkuu, unatokea Kigoma nini? Au Lindi?
Nenda boardrumHabari mwachiluwi.
Leo nataka nimtoe girlfriend wangu dinner. Wote hatuli nguruwe, pombe na sio watu wa kucheza miziki.
Nataka sehem tulivu.
Chukulia tunaishi mitaa around Makongo, Ubungo.
Unashauri nimpeleke restaurant gani Mkuu. Bajeti yangu sitaki izidi 40,000/=
Bruh kumbe uko ubungoNimeona aisee...
Daah kule mbali sana.
Yaani tufunge safari kutoka Ubungo hadi Kariakoo kisa kula Pizza 🍕!!
Bora nifikirie chimbo lingine tu.
Ngoja niendeeee... Sijui niende wapi, mmmhhh... Duh.
kama salio ni 50K tu mwenyewe sitoki nitaumbuka, kuna pisi zinaagiza utadhani zinakomoa.Hivi mtu ukisema una budget ya 50K maana yake ni kwamba unakuwa na 50K net au unakuwa na zaid ya hiyo ila umepanga kutumia 50K tu?
Binafsi, siwezi kutoka na mwanamke jijini Dsm nikiwa na 50K tu mfukoni. Ni hatari sana. Hatari mno. Sema tu ni vile tunatofautiana.
Mwenye masikio na asikie