tatizo ni wewe mpenz umejisahau
fanya ya wajibu wako kwa mumeo kuaanzia usafi,mavazi,chakula safi na kitamu muandalie mumeo,utundu na ubunifu 6*6,ongea sauti ya mahaba yenye ulimi wa sukari,tenga muda wa mume na mtoto,caring,nguo za mitego..afanye awe aetulia mpenz
wahi kinga mapema kwa ndoa yako hii changa