Msaada kwenye tuta

keitowangu

Member
Joined
Dec 2, 2014
Posts
12
Reaction score
0
Mimi ni mwanamke mwenye miaka (25), ninaishi na mwanaume na tumezaa naye mtoto mmoja. Mtoto wetu sasa anamwaka (1).

Tangu nijifungue mume wangu amepunguza kasi ya kufanya mapenzi na mimi, na pia amepunguza hamu na mimi hata tukifanya mapenzi dudu yake haisimami sana kama zamani.

Tatizo ni nini, na linatokana na nini na nifanyeje? Naomba mnijuze wadau.
 
Jaribu kuongea na mumeo kwa lugha laini maana wewe na yeye ndio pekee mnaojijua vyema...
 
umejifungua kwa njia gani?????


lakini pia ar u still sexy kama kabla hujajifungua????unanukia vizuri?????? unamtamanisha?????HUAJANENEPA KWELI?????KUPITA KIASI WEWE NA MAZOEZ HUTAKI KUFANYA?????


nguo hizo unazoshindaga nazo akirudi badili maana huwa zinanuka maziwa

anyways JIBU KWANZA HAPO JUU
 
inaelekea baada ya kujifungua umepoteza ule mvuto wa mwanzo maybe umenenpa sana maybe uke wako umekua mpana hauna ule mnato jaribu kukaa nae chini umuulizwe nini tatizo
 
Mapenzi cku zote huanza na usafi wa wahusika Fanya yafuatayo
1 hakikisha mazingira ya ndani ni masafi kwa kiwango kikubwa
2 mwandalie chakula kizuri na bashssha zingne kama ubani chair ya viungo vzr
3 usisahau vzawadi vdg vdg mfano kadi nzuri kama MNA uwezo jarb kumnunulia mashat manukato
Hoi yote ni kumuweka saw a kisaikolojia
4 kuwa na lugha laini
 
Jaribu kuwa msafi na kama uko bize sana na mtt jaribu kubalance wote wanakuhitaji
 

Kazi ipo hapa
 
tatizo ni wewe mpenz umejisahau

fanya ya wajibu wako kwa mumeo kuaanzia usafi,mavazi,chakula safi na kitamu muandalie mumeo,utundu na ubunifu 6*6,ongea sauti ya mahaba yenye ulimi wa sukari,tenga muda wa mume na mtoto,caring,nguo za mitego..afanye awe aetulia mpenz

wahi kinga mapema kwa ndoa yako hii changa
 
jaribu kuwa msafi dia, tatizo n wew mwenyw! umepunguza mvuto ulokuwa nao! try your best ku handle wote wawili, usijisahau.... utaanza kumpoteza mume, shaurilo
 
nimejifungua kwa njia ya kawaida, nimenenepa ila kwa kugawanyika sio kila mahali na pia me ni mfanyakazi narudi jioni naoga. nishajaribu labda nivae nguo anazozipenda na kuwa msafi ila haijasaidia.
 
Wadau nashukuru sana kwa ushauri wenu, kwa yale ambayo ninamapungufu nitajirekebisha ila kwa kumjali namjali sana. me ndo nahusika na chakula nguo hadi chupi zake. na kufua huwa nafua mwenyewe sio mfanyakazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…