Msaada kwa mjamzito

Msaada kwa mjamzito

miss chuga

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2019
Posts
303
Reaction score
660
Habari zenu? Nina ujauzito wa wiki 35 napata maumivu ya makalio, mapaja, mgongo, kiuno na tumbo linakata chini ya kitovu Kama vile kisu nilienda Jana hospital nikafanya ultrasound mtoto ameshageuka tayari wanasema hamna shida sasa sielewi haya maumivu yanasababishwa na Nini maana hata kutembea vizuri nashindwa nachechemea. Naomba mwenye utaalam anisaidie shida ni Nini au nifanyaje kumaliza haya maumivu
 
Hapo andaa kabisa begi la kujifungulia na fedha za nauli na emergency.
Pia kama hujanyoa vumba kule chini mwambie husband wako akunyoe utakate.
Muda si mrefu utaenda kutaga.
Pia kua makini, ukiona mtoto hachezi wahi sana hospitali.
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kapime Uti dear!mimi pia niko kama wewe ila nilikua napata dalili hizohizo!nikaenda hospital nikakuta uti!nimepata tiba sasa niko sawa hata sichechemei wala maumivu

Uti inasababisha Kujifungua mapema kabla ya siku zako!nenda hospital na sio zahanati
 
  • Thanks
Reactions: THT
Kapime Uti dear!mimi pia niko kama wewe ila nilikua napata dalili hizohizo!nikaenda hospital nikakuta uti!nimepata tiba sasa niko sawa hata sichechemei wala maumivu

Uti inasababisha Kujifungua mapema kabla ya siku zako!nenda hospital na sio zahanati
Asante mwaya nmeenda jana wamesema Sina Ila wamenipa tu amoxilin nimeze
 
Hapo andaa kabisa begi la kujifungulia na fedha za nauli na emergency.
Pia kama hujanyoa vumba kule chini mwambie husband wako akunyoe utakate.
Muda si mrefu utaenda kutaga.
Pia kua makini, ukiona mtoto hachezi wahi sana hospitali.
Asante ngoja leo akirud aninyoe nikae mkao wa kwenda kupush japo kiroho kipo juu juu
 
Ndo mara ya kwanza nkupe nondo??
Ndyo ndo mtoto wa kwanza yani hapa najiuliza uchungu na wakati wa kuzaa pale yani muda wa kupush kipi kinauma sana nakosa majibu ebu nipe nondo
 
Ndyo ndo mtoto wa kwanza yani hapa najiuliza uchungu na wakati wa kuzaa pale yani muda wa kupush kipi kinauma sana nakosa majibu ebu nipe nondo
🤣🤣🤣 usiogope. Ntakueleza kutokana na experience ya kuzalisha wamama wengi. Mengi ya haya ni ya kibinadamu na maelezo ya wengi wao.
1. Asikudanganye mtu, uchungu unauma na unauma kwelikweli. Jitahidi kufanya mazoez ya kutembea ili at least kutanua nyonga.
2. Siku uchungu ukifika, ujue utakushika almost masaa 8 au zaidi lakini unaanza kidogokidogo af unazidia mida unavokaribia
3. Jitahidi uende haja kubwa wakati uchungu bado haujashika sana. Hii ni kwa sababu asilimia 90 lazma ukate nyengo wakati wa kusukuma, so ukipunguza mbolea before muda wa kusukuma utapunguza maneno ya shombo kutoka kwa wauguzi hasa wa kike. Usijefika pale ukashusha mbolea heavy ukaharibu mazingira.
4. Personaly nashauri kuvumilia maumiv na kutopiga makelele ya kiwaki maana ukishamaliza utaanza kuona aibu bkoz kila mtu atakua anakushangaa ulivokua unalia lia kwa masauti. So gugumia if you can.
5. Muda wa kusukuma ukifika, hutaambiwa, we mwenyewe utaanza kusukuma, na hapo ndo utajua maana ya maumivu. Lakini jitahidi usukume bila kuacha acha ili usije ukambonyeza mtoto kichwa.
6. Najua ni ngumu, lakini jitahidi uwe mstaarabu hasa kwenye maelekezo utayopewa na wanaokuzalisha. Hua hatupendi mtu anaejifanya much know. Ukijifanya mjuaji sana utaishia kugombana na kutopewa huduma nzuri.
7. Ukipata bahati ya kuzalishwa na mwanaume utaenjoy maana sisi kwa kias kikubwa hua tuna huruma. Hata wanawake wako pia wenye roho nzuri af kuna wale wapashkuna.
8. Andaa nguo za kutosha. Usafi ni muhimu sana kila hatua ya hiyo siku.
9. Kila la kheri. Kuzaa ni jambo la baraka, ukishajifungua ukabeba mtoto/watoto wako ukaanza kunyonyesha, furaha yake ni kubwa sana na utasahau haya maumivu yote ulopitia.
10. Muombe Mungu sana ujifungue bila complication na mtoto asipate tatizo. Lishe ni muhim after kujifungua na hakikisha mtoto ananyonya maziwa yako kwa wingi.
11. Be humble. Ukishajifungua utakutana na watu ambao hawajajaaaliwa mtoto, usiwaoshee kana kwamba wewe ndo umehangaika saana au unajua saana kuzaa, kistaarabu tu. Unyenyekevu ni kitu muhim. Oh, pia sio kila mtu ahikeshike mwanao, kaa chonjo, watu wengine sio wema.
 
usiogope. Ntakueleza kutokana na experience ya kuzalisha wamama wengi. Mengi ya haya ni ya kibinadamu na maelezo ya wengi wao.
1. Asikudanganye mtu, uchungu unauma na unauma kwelikweli. Jitahidi kufanya mazoez ya kutembea ili at least kutanua nyonga.
2. Siku uchungu ukifika, ujue utakushika almost masaa 8 au zaidi lakini unaanza kidogokidogo af unazidia mida unavokaribia
3. Jitahidi uende haja kubwa wakati uchungu bado haujashika sana. Hii ni kwa sababu asilimia 90 lazma ukate nyengo wakati wa kusukuma, so ukipunguza mbolea before muda wa kusukuma utapunguza maneno ya shombo kutoka kwa wauguzi hasa wa kike. Usijefika pale ukashusha mbolea heavy ukaharibu mazingira.
4. Personaly nashauri kuvumilia maumiv na kutopiga makelele ya kiwaki maana ukishamaliza utaanza kuona aibu bkoz kila mtu atakua anakushangaa ulivokua unalia lia kwa masauti. So gugumia if you can.
5. Muda wa kusukuma ukifika, hutaambiwa, we mwenyewe utaanza kusukuma, na hapo ndo utajua maana ya maumivu. Lakini jitahidi usukume bila kuacha acha ili usije ukambonyeza mtoto kichwa.
6. Najua ni ngumu, lakini jitahidi uwe mstaarabu hasa kwenye maelekezo utayopewa na wanaokuzalisha. Hua hatupendi mtu anaejifanya much know. Ukijifanya mjuaji sana utaishia kugombana na kutopewa huduma nzuri.
7. Ukipata bahati ya kuzalishwa na mwanaume utaenjoy maana sisi kwa kias kikubwa hua tuna huruma. Hata wanawake wako pia wenye roho nzuri af kuna wale wapashkuna.
8. Andaa nguo za kutosha. Usafi ni muhimu sana kila hatua ya hiyo siku.
9. Kila la kheri. Kuzaa ni jambo la baraka, ukishajifungua ukabeba mtoto/watoto wako ukaanza kunyonyesha, furaha yake ni kubwa sana na utasahau haya maumivu yote ulopitia.
10. Muombe Mungu sana ujifungue bila complication na mtoto asipate tatizo. Lishe ni muhim after kujifungua na hakikisha mtoto ananyonya maziwa yako kwa wingi.
11. Be humble. Ukishajifungua utakutana na watu ambao hawajajaaaliwa mtoto, usiwaoshee kana kwamba wewe ndo umehangaika saana au unajua saana kuzaa, kistaarabu tu. Unyenyekevu ni kitu muhim. Oh, pia sio kila mtu ahikeshike mwanao, kaa chonjo, watu wengine sio wema.
Nashukuru sana kwa kunipa nondo kidogo nimepata ujuzi, kwahyo uchungu ukianza tu niwahi hospital au nisubiri Hadi uchanganye?
 
Nashukuru sana kwa kunipa nondo kidogo nimepata ujuzi, kwahyo uchungu ukianza tu niwahi hospital au nisubiri Hadi uchanganye?
Bora uwahi. Japo unaeza subiri sana lakini u akua sehem salama. In case of anythng utapata huduma kwa haraka. Japo hospital nyingi siku hizi wanapenda kupiga kisu, lakini kama mtoto hana shida yoyote we ngojea tu Ujifungue kawaida.
 
Hayo maumivu kawaida pia uko mwishoni Fanya mazoezi ya kutembea yanasaidia kupunguza maumivu na jitahidi unywe maji si chini ya glass nane kwa siku(2litres)
 
Bora uwahi. Japo unaeza subiri sana lakini u akua sehem salama. In case of anythng utapata huduma kwa haraka. Japo hospital nyingi siku hizi wanapenda kupiga kisu, lakini kama mtoto hana shida yoyote we ngojea tu Ujifungue kawaida.
Hivi hakunaga zile epidurals hapa bongo??hosp.gani wanaoffer?
 
🤣🤣🤣 usiogope. Ntakueleza kutokana na experience ya kuzalisha wamama wengi. Mengi ya haya ni ya kibinadamu na maelezo ya wengi wao.
1. Asikudanganye mtu, uchungu unauma na unauma kwelikweli. Jitahidi kufanya mazoez ya kutembea ili at least kutanua nyonga.
2. Siku uchungu ukifika, ujue utakushika almost masaa 8 au zaidi lakini unaanza kidogokidogo af unazidia mida unavokaribia
3. Jitahidi uende haja kubwa wakati uchungu bado haujashika sana. Hii ni kwa sababu asilimia 90 lazma ukate nyengo wakati wa kusukuma, so ukipunguza mbolea before muda wa kusukuma utapunguza maneno ya shombo kutoka kwa wauguzi hasa wa kike. Usijefika pale ukashusha mbolea heavy ukaharibu mazingira.
4. Personaly nashauri kuvumilia maumiv na kutopiga makelele ya kiwaki maana ukishamaliza utaanza kuona aibu bkoz kila mtu atakua anakushangaa ulivokua unalia lia kwa masauti. So gugumia if you can.
5. Muda wa kusukuma ukifika, hutaambiwa, we mwenyewe utaanza kusukuma, na hapo ndo utajua maana ya maumivu. Lakini jitahidi usukume bila kuacha acha ili usije ukambonyeza mtoto kichwa.
6. Najua ni ngumu, lakini jitahidi uwe mstaarabu hasa kwenye maelekezo utayopewa na wanaokuzalisha. Hua hatupendi mtu anaejifanya much know. Ukijifanya mjuaji sana utaishia kugombana na kutopewa huduma nzuri.
7. Ukipata bahati ya kuzalishwa na mwanaume utaenjoy maana sisi kwa kias kikubwa hua tuna huruma. Hata wanawake wako pia wenye roho nzuri af kuna wale wapashkuna.
8. Andaa nguo za kutosha. Usafi ni muhimu sana kila hatua ya hiyo siku.
9. Kila la kheri. Kuzaa ni jambo la baraka, ukishajifungua ukabeba mtoto/watoto wako ukaanza kunyonyesha, furaha yake ni kubwa sana na utasahau haya maumivu yote ulopitia.
10. Muombe Mungu sana ujifungue bila complication na mtoto asipate tatizo. Lishe ni muhim after kujifungua na hakikisha mtoto ananyonya maziwa yako kwa wingi.
11. Be humble. Ukishajifungua utakutana na watu ambao hawajajaaaliwa mtoto, usiwaoshee kana kwamba wewe ndo umehangaika saana au unajua saana kuzaa, kistaarabu tu. Unyenyekevu ni kitu muhim. Oh, pia sio kila mtu ahikeshike mwanao, kaa chonjo, watu wengine sio wema.
ushauri mzuri kaka Mungu akubariki. naomba kuuliza je kuna namna mjamzito anaweza kuzuia asichanike pindi anapojifungua.
 
ushauri mzuri kaka Mungu akubariki. naomba kuuliza je kuna namna mjamzito anaweza kuzuia asichanike pindi anapojifungua.
Amen.
Kwenye kuchanika it depends na ukubwa wa kichwa cha mtoto.
Lakini most times unashauriwa ufanye mazoezi kwa ajili ya hyo misuli.
Mostly hiki kitu ukienda kwa wale maternity nurses wazoefu watakupa maelekezo vzur zaidi.
Pia kama ni first delivery, ni vyema ukaenda hospitali kubwa
 
Back
Top Bottom