M Mastabenja Member Mar 23, 2012 25 6 Mar 23, 2012 #1 Wana jf nataka kukopa nmb mil tatu-basic yangu ni 422000 take home ni 371000 .je riba ni kiasi gani na kila mwezi ntakatwa shilingi ngapi kwa miezi 36!najua watu wa benki mpo jf
Wana jf nataka kukopa nmb mil tatu-basic yangu ni 422000 take home ni 371000 .je riba ni kiasi gani na kila mwezi ntakatwa shilingi ngapi kwa miezi 36!najua watu wa benki mpo jf
Iselamagazi JF-Expert Member Sep 26, 2011 5,924 6,010 Mar 23, 2012 #2 Tembelea tawi lolote la NMB, muone Afisa Mikopo, utapewa details zote.
BADILI TABIA JF-Expert Member Jun 13, 2011 32,772 23,164 Mar 24, 2012 #3 nenda nmb watakupa taratibu. Ila mshahara wako unatakiwa upite huko kwa miezi 3.