Msaada kuhusu ugonjwa wa Arthritis

Can arthritis be cured?




Although there's no cure for arthritis, treatments have improved greatly in recent years and, for many types of arthritis, particularly inflammatory arthritis, there's a clear benefit in starting treatment at an early stage. It may be difficult to say what has caused your arthritis..
Mkuu pole sana kwa hayo maradhi ya Baridi yabisi katika mifupa hakuna tiba ya hospitali utakayo weza kutibiwa hayo maradhi na kupona sio rahisi kabisa. Nitafute mimi kwa wakati wako ili niweze kukutibia maradhi yako upate kupona uguwa pole.
 
Shida yako mkuu unajibizana na empty bottles pengine hata hataki kujiweka tayari kukusikiliza na kuelewa what you mean .
I have been in medicine field for more than 15 years now.

I second you all you are talking mkuu.
 
Shida yako mkuu unajibizana na empty bottles pengine hata hataki kujiweka tayari kukusikiliza na kuelewa what you mean .
I have been in medicine field for more than 15 years now.

I second you all you are talking mkuu.
I hear you I am also to blame kwa kujibizana na viazi sababu ni mchangiaji wa jukwaa la siasa so we are used to nonsense na muda mwingine kule kuna leagues za kipuuzi.

Otherwise I am good maana muhusika angeanza kuuliza maswali ya msingi ingekuwa kumjibu hayo maswali in relation to pathophysiology ya ugonjwa wake mtihani mwingine.

Wakati tayari nina deni la kumuelezea mtu mwingine ugonjwa ambao kaniomba kwa ustaarabu niufungue wote kuanzia unavyoanza mpaka tiba (yeye sijui mtu wa ngapi). Nilikuwa napiga chenga nimeona kuna watu wengi wanataka ufahamu japo process yenyewe ya A-Z ni ndefu nimeona niwaandikie tu ila wanipe muda.

Kawaida na charge but then ahadi ni deni ndio uzuri wa J.F sometimes mizuka ya wachangiaji inapanda unajitia kati unakuwa na wajibu wa kujibu members.

So I am glad not committed to this one zaidi ya kujibizana na wapuuzi kazaa; maana kama kuelezea pathophysiology ya ugonjwa na medication ingekuwa mshikeshike mwingine given majukumu niliyokuwa sasa hivi.

Anyway siku njema hope utakuwa msaada kwa muhusika personally I have lost interest na hii thread.
 
Taja dawa ya ugonjwa wa OP mumsaidie. Anayesema dawa hakuna katoa facts, anayesema ipo iko wapi inapatikanaje mgonjwa akaifuate
 
So

So far kisayansi hakuna dawa itakayotibu arthritis permanently....utakua unatumia dozi ikiisha basi unaskilizia tatizo litaporudi tena utanunua tena iyo dozi....
Dawa hizi mbili nazokutajia zinaleta matokeo mazuri baada ya siku 2 tu mpk utasahau km ulikua unaumwa arthritis...

1. Cataflam 50mg (hii ni expensive kidogo)
2. Meloxican
 
As yet I am just offering information NHS wakikwambia hakuna tiba then hakuna.


Tumia Binzari kama kiungo katika mboga unazokula, go and tell the NHS. Hayo madawa ya conventional ni biashara na watu kama nyie mnatumiwa bila kujua kama wapagazi wa biashara hiyo ya hayo madawa ya kizungu.

Wazungu hawataki makampuni yao ya madawa yafe hivyo wao wanaangalia dawa zinazopunguza na ku control ugonjwa hawataki kuangalia dawa zinazotibu ugonjwa kabisa na ndio maana you are fed with such ignorance that; no cure for arthritis.

Nakupa elimu nenda kafanye utafiti juu ya Binzari (manjano) labda kuna siku utapata zawadi ya Nobel in medicine for arthritis cure discovery , ila usinisahau siku ukizawadiwa.
 
1. Cataflam 50mg (hii ni expensive kidogo)


Hii ndio biashara ya the Big pharms, kamwe hawawezi kuua biashara yao kwa kutengeneza Binzari (Turmeric /curcuma longa) kwa ajili ya kutibu Arthritis. Kilatha aka Kilaza,🤣
 
JD honey or tennessee?
 
Huna tofauti na mtu anaedhani mwarobaini ni tiba ya kila kitu.

Hakuna medic duniani anaekataa dawa za asili ata kwa mzungu huko kwao kuna maduka ya dawa ya asili be it mainly maduka ya wachina but you can’t promote such medicine.

Kwanini hizo tiba wanakuwa washachunguza zinafanya kazi vipi given the condition.

Kuna vitu vingine ata kubishana shida;

Nakupa mfano wa medical condition ambayo nafahamu kidogo.

Kwety Tanzania unakuta mtu ana type 2 diabetes and pressure. Hiyo combination sio hatari sana kama unaeulewa wa ku manage huo ugonjwa na vilevile ni combination ni mbaya sana kama hujui ku manage huo; mbaya zaidi kama wauguzi ufahamu wao wa pathophysiology ya uogonjwa.

Case Study: umuhimu wa kuelewa ugonjwa

Kuna mkurugenzi alikuwa na kisukari na pressure, kala hela za parking. Magufuli kampaka hadharani siku chache jamaa marehemu who is to blame, Magufuli au medical expert?

Let me tell you what happens hakuna kifo cha ghafla kwa mtu mwenye kisukari in normal circumstances never.

However mwili wa mwanadamu aupendi stress na stress kwa human biology ni feelings au hata homa ndogo; ukiwa kwenye hilo silaha ya kwanza ya mwili kwenye kujikinga cortisol hormones zinarusha sukari kupambana na situation.

So ikitokea umeudhika kama yule jamaa aliekalipiwa na magufuli akafa siku chache au umeumwa homa ya kawaida na wewe ni mgonjwa wa kisukari mwili ukijisikia stress tu cortisol hormones inarusha sukari from its reserves na wewe unayo tayari mwilini. Kinachofuata hapo ni DKA ukifika hospitali ukipata vipimo sahihi mapema na ku intervene wanaimudu unatoka salama, mtu asipoelewa unaondoka hapo hapo ata mama yangu tumempoteza na DKA people don’t just die.

What’s the point ya above ☝️In medicine kabla kumpa ushauri mtu wa internation na dawa za kutumia kwanza elewa effects za huo ugonjwa na upo stage gani, risk zake at each stage, medication, life style adjustments and so forth sio kulisha watu matango pori.

Nikikuuliza aliemuua aliekuwa mkurugenzi wa Dar ni kufokewa na Magufuli au incompetence ya medical experts whose to blame, people don’t just die in Europe because understanding of pathophysiology is taken serious.

Ukiulizwa tangawizi vipi arthritis unaweza elezea given the pathophysiology of the condition au unaropoka tu this why kuna vifo vingi vya kizembe kwa sababu kila mtu ni medical expert.
 
Tafuta mwani
Tafuta na star anseed
Saga vyote viwektk powder form
Matumizi chemsha maji ya moto
Kikombe 1 cha maji ya moto utchanganya viwiko viwili vya huo mchanganyiko kutwa mara mbili kwa siku kwa miezi3
Pia atumie matunda kama chakula chake kikuu kwa mda huo wa miezi mitatu
 
Hii ndio biashara ya the Big pharms, kamwe hawawezi kuua biashara yao kwa kutengeneza Binzari (Turmeric /curcuma longa) kwa ajili ya kutibu Arthritis. Kilatha aka Kilaza,🤣
Ukishaambiwa ugonjwa auna tiba dawa yoyote ni for managing the condition na usichukulie dawa bila ya vipimo na Dkt recommendation based on health deterioration evidence nyie watu ndio maana mnakufa kirahisi kwa kujifanya wajuaji.
 


Nenda kafanye utafiti wa Binzari halafu uje hapa hatutaki hizo hadithi za matango pori ya kizungu uliyolishwa na kukariri kwamba; no cure for arthritis.

Think out of the European box clutches and be free to think independently on your own and that is the good use of Education, Elimu hasa ni muendelezo wa kile mtu alichojifunza akiwa Shuleni nk, vinginevyo tutasema huyo mtu bado ni uneducated and ignorant.
 
Ukishaambiwa ugonjwa auna tiba dawa yoyote ni for managing the condition na usichukulie dawa bila ya vipimo na Dkt recommendation based on health deterioration evidence nyie watu ndio maana mnakufa kirahisi kwa kujifanya wajuaji.


Hata wewe unajifanya mjuaji kwa kung'ang'ania kwamba Arthritis haina tiba,----- kwani huo ugonjwa duniani wanaugua Wazungu na baadhi ya Watu tu??, hivi wewe umetembea duniani Kote kukagua dawa zote??, je wewe au hao NHS mnajua dawa zote zilizopo duniani??, huko si ndio kujifanya ujuaji!!, ni ujinga kudai kwamba eti, ugonjwa fulani hauna tiba!!

Ukome kabisa kudai kwamba ugonjwa fulani hauna tiba.
 
Unafikiri ukiandika kizungu ndio utanitisha? Jinga wahed!

Afrika haiwezi kujinasua toka kwenye mitego ya mabeberu kama wanasayansi wenyewe ndio uchwara kama wewe!

Fanya kazi! Jibidishe! Fanya tafiti!!!

Ati mzungu kasema!! Who is mzungu?
 
Shida yako mkuu unajibizana na empty bottles pengine hata hataki kujiweka tayari kukusikiliza na kuelewa what you mean .
I have been in medicine field for more than 15 years now.

I second you all you are talking mkuu.
Ungekuwa na akili ungeteneza japo dawa ya arthritis.

Huna akili ndio maana kila wanalosema wazungu unalibugia jinsi lilivyo!

Wakikwambia hakuna dawa, na wewe unapigia mstari! Changamkaa!! Fanya hata utafitii binafsi, toa makala na mapendekezo! Fanya kitu!

Umechutama tu hapo na madigriii uchwara yasiyo na msaada wowote! Ati hakuna dawa!

Huna unalolifanya zaidi ya kuhusudu mabeberu na kutafuna kodi zetu tu!

Mbumbumbu.
 
Maneno meeeengiii.... ujinga mtupu!!

Hawa ndio "wanasayansi" wetu!! [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…