Ni kweli ni wengi kwenye profile zao wamechaguliwa lkn majina kwenye vyuo husika hayapo,nadhan matatizo yatakuwa kwa chuo chenyewe,worry out,best solution for now tafuta mawasiliano na chuo ambacho tcu wamekupanga uone wanasemaje,tena iwe faster before usajiri,Pole