Msaada kuhusu NACTE application for academic year 2019/2020

damy P

Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
23
Reaction score
4
Ninatarajia kuomba Diploma in Clinical Medicine katika vyuo vifuatavyo: Lugalo Military Medical College, Kibaha College of Health and Allied Science, AMO KCMC.

Ufaulu wangu ni kama ifuatavyo O-level results 2012: Physics C,Chemistry C,Biology C, B/maths C, English C. A-level results 2015: Physics C,Chemisty C, Biology C, Bam C, GS D.

Waungwana kwa matokeo hayo na muda niliomaliza shule ninaweza pata vyuo hivyo?

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…