Ukifika katika ofisi zao utapata maelezo ya kina,ndio inawezekana kupata wewe na familia yako!...Bima kwa kweli ni msaada mkubwa kwa sisi pangu pakavu...
Asante sana mkuu, sema ndg "Osaka" ameniambia kwa upande wa kinondoni zipo maeneo ya cocacola japo hajanifafanulia ipo kwa upande gan maana eneo lile lina ofisi nyingi
Kama uko kwenye SACCOS nawashauri mjiunge kama kikundi huwa inakuwa na unafuu sana, enewei fika ofisini kwao watakupa maelezo, usingie peke yako gharama ni kubwa sana1.5m lakini mkiingia kama kikundi cha SACCOS inakuwa 78,000/= tu kwa mwaka