K king rockie ATL JF-Expert Member Joined Jun 1, 2012 Posts 260 Reaction score 25 Apr 9, 2015 #1 Jamani wataalam nlikua nareset simu huawei y 530 lakini sas ikiwaka inaishia kuonyesha android tu,wanaojua msaada tafadhali
Jamani wataalam nlikua nareset simu huawei y 530 lakini sas ikiwaka inaishia kuonyesha android tu,wanaojua msaada tafadhali
Wizzy the Principle Member Joined Jan 11, 2014 Posts 63 Reaction score 3 Apr 9, 2015 #2 Weka ktk chaji alafu iwashe kwanza
wickerman JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 408 Reaction score 252 Apr 9, 2015 #3 king rockie ATL said: Jamani wataalam nlikua nareset simu huawei y 530 lakini sas ikiwaka inaishia kuonyesha android tu,wanaojua msaada tafadhali Click to expand... Sijui kama Hii model ya huawei itakubali ila fanya hivi : Toa Battery lako kwenye cmu kama sekunde tano hvi kisha rudisha. sasa kabla hujawasha hold button yakuongeza sauti, minya button ya kuwashia simu na uhold pia. Hold mpaka itakapo kuja menyu ya Android Recovery then achia hizo buttons. Tumia button za sauti ku move up and down kwenye menyu hiyo, na uende mpaka kwenye option ya "Wipe User Data" (Kitu kama hicho). Then press button ya kuzima na kuwasha simu, then simu itaanza kufanya a hard reset. subiria mpaka imalize halaf itafanya reboot I think itawork, Unless kama ulikua unacheza na ishu za ROMS na simu yako ikawa imeingia kwenye Bootloop....
king rockie ATL said: Jamani wataalam nlikua nareset simu huawei y 530 lakini sas ikiwaka inaishia kuonyesha android tu,wanaojua msaada tafadhali Click to expand... Sijui kama Hii model ya huawei itakubali ila fanya hivi : Toa Battery lako kwenye cmu kama sekunde tano hvi kisha rudisha. sasa kabla hujawasha hold button yakuongeza sauti, minya button ya kuwashia simu na uhold pia. Hold mpaka itakapo kuja menyu ya Android Recovery then achia hizo buttons. Tumia button za sauti ku move up and down kwenye menyu hiyo, na uende mpaka kwenye option ya "Wipe User Data" (Kitu kama hicho). Then press button ya kuzima na kuwasha simu, then simu itaanza kufanya a hard reset. subiria mpaka imalize halaf itafanya reboot I think itawork, Unless kama ulikua unacheza na ishu za ROMS na simu yako ikawa imeingia kwenye Bootloop....
K king rockie ATL JF-Expert Member Joined Jun 1, 2012 Posts 260 Reaction score 25 Apr 9, 2015 Thread starter #4 Nimefanya vyote hivyo imegoma