Ama kweli nyie wote hamjaielewa kama mimi nilivyoshindwa kuelewa mpaka nikaamua kuna kutafuta wajuvi wanieleweshe. Course ni moja inaitwa ordinary diploma in community development and civil engineering
Sasa imenitatiza kuona imeunganika na community development, so mwenye uelewa wowote juu ya hili tafadhari anijuze