inategemea nguo gani...uza vitenge ..nguo za wanawake...mi nlipga hela sana,,usimpe mtu...ukiwa ns pikipiki ni bora zaidi...wagogo wakivuna kununua vtu hawawazi....N:B:CHUNGA CHUMAULETE...NLIPIGWA MOJA IYO SITASAHAU
inategemea nguo gani...uza vitenge ..nguo za wanawake...mi nlipga hela sana,,usimpe mtu...ukiwa ns pikipiki ni bora zaidi...wagogo wakivuna kununua vtu hawawazi....N:B:CHUNGA CHUMAULETE...NLIPIGWA MOJA IYO SITASAHAU
duh mkuu me nna mitumba ya kike tu ntaongezea na vitenge kama ulivosema, eti ulipigwa chuma ulete? duh wagogo hawa?
so uliuza msimu wa mavuno au msimu wa kawaida tu mkuu?
duh mkuu me nna mitumba ya kike tu ntaongezea na vitenge kama ulivosema, eti ulipigwa chuma ulete? duh wagogo hawa?
so uliuza msimu wa mavuno au msimu wa kawaida tu mkuu?
inategemea nguo gani...uza vitenge ..nguo za wanawake...mi nlipga hela sana,,usimpe mtu...ukiwa ns pikipiki ni bora zaidi...wagogo wakivuna kununua vtu hawawazi....N:B:CHUNGA CHUMAULETE...NLIPIGWA MOJA IYO SITASAHAU