Mbona unabahatisha mkuu,
Ulishaona field zao kama wanaenda shulen,??
Mara nying field zao n viwandan, sasa ualimu wanajulia wapi, scheme of work wanaweza kuandaa, je wanajua hata lesson plan, au ualimu unachukulia vip??
Kuna wakaguzi wanapita mashulen usifikili n kaz za kufakamia kiivo
Koz yeyote ya ualimu ina neno education mfn ,bachelor of science with education n. K
Sasa endeleeni kupeana pumba kuwa kwa Tanzania hio koz ni ualimu