Msaada joining instructions chuo cha meno Tanga

Joined
Sep 26, 2017
Posts
13
Reaction score
3
Kwa wenyeji kaka zetu na dada zetu mlio tutangulia kwenye masuala ya kielimu naombeni msaada.Mimi ni mgen kabisa hum.

Shida yangu ni kwamba nimechaguliwa chuo cha udaktari wa meno Tanga ngazi ya diploma in clinical dentistry nafasi ni thibitisha chuoni lakini tatizo ni join instruction form kama kuna mtu naye kachaguliwa hapo na ameshatumiwa hiyo form, basi msaada aiwekee hapo na mimi niisome.

Msaada jamani maana tarehe iliyotangazwa ya kuanza masomo ishapita sasa, wengine tunahofuu wenda wenzetu washaripoti vyuoni.
 
usijari walisema diploma kuripoti mwez wa Tisa ila wamegairisha coz wengine wamekosa vyuo me nmechaguliwa same course ni mbeya lakini niltumiwa text kurpoti adi October asante
 
Je
usijari walisema diploma kuripoti mwez wa Tisa ila wamegairisha coz wengine wamekosa vyuo me nmechaguliwa same course ni mbeya lakini niltumiwa text kurpoti adi October asante
hawakutumia join ya mbeya wenda zinaenda
 
we jipange tu uende, mengine utayajua hukohuko, kama tu unajua ada ni kiasi gani basi inatosha, ilimradi uwe na hela ya akiba kama laki2 kwa ajili ya kulipia au kununua chochote cha muhimu utakachoambiwa ukifika huko.
 
we jipange tu uende, mengine utayajua hukohuko, kama tu unajua ada ni kiasi gani basi inatosha, ilimradi uwe na hela ya akiba kama laki2 kwa ajili ya kulipia au kununua chochote cha muhimu utakachoambiwa ukifika huko.
Asnte ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…