Braza ungeuliza aina ya laptop kabla hujatoa jibu la jumla.
Kuna laptops zinatengenezwa SA security yake ni kama Mac. Nililetewa ilikua na Windows 10 so natakiwa nipige chini hiyo Windows.
Inagoma kuboot kivyovyote mpaka uingize password ya User.
Inagoma kuireset.
Na inakupa onyo.