Mimi niliibiwa Redmi note 11 Pro, Dec 24 mwaka jana hadi leo hii sijaipata. Police nilienda majibu haionekani kwenye system, endelea kukumbusha wahusika wanao trace pengine inaweza kuwa bahati yako ukaipata.
Mimi niliibiwa Redmi note 11 Pro, Dec 24 mwaka jana hadi leo hii sijaipata. Police nilienda majibu haionekani kwenye system, endelea kukumbusha wahusika wanao trace pengine inaweza kuwa bahati yako ukaipata.