Fuata Hizi hatua
Pakua hii app inaitwa tracker-free Hapa kwa kutumia simu ya unayetaka kupata taarifa zake halaf instal hiyo app kwenye simu yake
Baada ya istallation fungua hiyo app kisha fungua account kwa kuingiza jina la muhusika au jina la simu anayotumia, Email pamoja na Pass (nywila)
Baada ya kukamilisha hayo bofya kitufe cha hide icon na kuchagua kile unachokitaka ukipate mf, sms,call,whatsapp,emaill etc.
Baada ya hapo mrudishie muhusika simu yake.
Ingia tena Hii website kutumia simu yako au Pc nakushauri utumie Pc ni nzuri zaidi https://tracker-free.com Kisha Log in kwa kutumia Email na Nywila ulizotumia kwenye simu ya Muhusika kisha ita Conect yenyewe na hiyo simu,,..... Baada ya hapo utaona kila kitu kupitia hiyo acc yako...
Unaweza kufanya hivi vitu kupitia acc yako
==> Kulock simu ya muhusika na kui unlock
==> Kupiga alarm
===> Kuitumia Ujumbe
===> Ku lock apps / website zilizoko kwenye hiyo simu
na mengine mengi.......
Pia ikumbukwe kuwa unaweza itumia hata kwa kuilinda simu yako mwenyewe na kukusaidia ikiibiwa kuipata kirahisi au kuzuia kuvuja kwa vitu vilivyopo kwenye simu yako.
NB: Nikosa ku Hack au kuchunguza vitu ndani ya simu ya mtu bila idhini yake.....
Na mademu wameshashtukia siku hizi wanatumia Lumia na iPhone 🙂
mkuu kwqa hapa sijaelewa means kwamba hizi lumia na iphone haziwi hacked???
Fuata Hizi hatua
Pakua hii app inaitwa tracker-free Hapa kwa kutumia simu ya unayetaka kupata taarifa zake halaf instal hiyo app kwenye simu yake
Baada ya istallation fungua hiyo app kisha fungua account kwa kuingiza jina la muhusika au jina la simu anayotumia, Email pamoja na Pass (nywila)
Baada ya kukamilisha hayo bofya kitufe cha hide icon na kuchagua kile unachokitaka ukipate mf, sms,call,whatsapp,emaill etc.
Baada ya hapo mrudishie muhusika simu yake.
Ingia tena Hii website kutumia simu yako au Pc nakushauri utumie Pc ni nzuri zaidi https://tracker-free.com Kisha Log in kwa kutumia Email na Nywila ulizotumia kwenye simu ya Muhusika kisha ita Conect yenyewe na hiyo simu,,..... Baada ya hapo utaona kila kitu kupitia hiyo acc yako...
Unaweza kufanya hivi vitu kupitia acc yako
==> Kulock simu ya muhusika na kui unlock
==> Kupiga alarm
===> Kuitumia Ujumbe
===> Ku lock apps / website zilizoko kwenye hiyo simu
na mengine mengi.......
Pia ikumbukwe kuwa unaweza itumia hata kwa kuilinda simu yako mwenyewe na kukusaidia ikiibiwa kuipata kirahisi au kuzuia kuvuja kwa vitu vilivyopo kwenye simu yako.
NB: Nikosa ku Hack au kuchunguza vitu ndani ya simu ya mtu bila idhini yake.....
haziwezi kuathirika na hii michezo ya kitoto ya kuibiana data na kuwa tracked. ukiwa na windows phone au ios upo salama wala usiwe na wasiwasi.
owh afadhali
[Color= red]Napita[/red]
ili iwejeNaandaa ya ku hack windows phone na iphone
Thanks ubarikiweFuata Hizi hatua
Pakua hii app inaitwa tracker-free Hapa kwa kutumia simu ya unayetaka kupata taarifa zake halaf instal hiyo app kwenye simu yake
Baada ya istallation fungua hiyo app kisha fungua account kwa kuingiza jina la muhusika au jina la simu anayotumia, Email pamoja na Pass (nywila)
Baada ya kukamilisha hayo bofya kitufe cha hide icon na kuchagua kile unachokitaka ukipate mf, sms,call,whatsapp,emaill etc.
Baada ya hapo mrudishie muhusika simu yake.
Ingia tena Hii website kutumia simu yako au Pc nakushauri utumie Pc ni nzuri zaidi Tracker Free - Monitoring software for Android - Tracking Calls, SMS, GPS, Pictures, Applications, Facebook, WhatsApp, Messenger, Recording Calls and more. Kisha Log in kwa kutumia Email na Nywila ulizotumia kwenye simu ya Muhusika kisha ita Conect yenyewe na hiyo simu,,..... Baada ya hapo utaona kila kitu kupitia hiyo acc yako...
Unaweza kufanya hivi vitu kupitia acc yako
==> Kulock simu ya muhusika na kui unlock
==> Kupiga alarm
===> Kuitumia Ujumbe
===> Ku lock apps / website zilizoko kwenye hiyo simu
na mengine mengi.......
Pia ikumbukwe kuwa unaweza itumia hata kwa kuilinda simu yako mwenyewe na kukusaidia ikiibiwa kuipata kirahisi au kuzuia kuvuja kwa vitu vilivyopo kwenye simu yako.
NB: Nikosa ku Hack au kuchunguza vitu ndani ya simu ya mtu bila idhini yake.....
Mim nataka kujua SMS za mke wangu maana now days akifika home anazima. Nisipokuwepo anawashaUnaweza kupata taarifa ya simu yeyote ulimwenguni.
Tahadhari kama ni ya mpenzi wako,utajisababishia matatizo bure.
Karibu PM
0714888689Nipe namba yako nikuelekeze, kuna application safi sana, ukiwa nayo hiyo na kama una mpenzi wako anatumia smartphone simu yake unaifanyia kitu cha kujijengea heshima sana. Msg calling na references zote zinaenda sehemu kujstore na wewe unazifata kwa email tu unazipata zote. Ni mzuri hata kama simu itaibiwa unaweza kufanya na ukajua wapi ilipo. Its free app
06582012910714888689