netti mimi
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 147
- 108
habari wakuu naomb kuuliza kuhusu hii sheria ...Kunamama angu mdogo amezaa mtt mmoj na mumewe ambae mumewe kwa sasa kafarik huku ameacha watt wa nje wanne sasa shida ni wale watot walikuwa wanamsumbua uyu mama auze nyumb mpaka kweny kata sasa uyu mama akutaka akaa we mpaka sasa ameamua kuuza nyumba kwa hiyar yake uyu mama ili awape awa watoto wa nje nawao kidog usumbuf uishe kila mtu ale hamsini zaje chaajabu saiv wanakataa...Na uyu mama kutokan na usumbuf anataka kuuza aondoke wanadai eti wanauza kwa bei ndogo thamani ya nyumba awaijui wao ni kulalamika tu je uyu mama akiamua kuuza yy mwenyew kunakosa hapo maana anawaita awataki na je afanyaj au auze fedh apelek serekar yesterdaya mtaa...Mama mdog ajafung ndoa na uyu mwanaume ila wamechum woot mali naomben majib wakuu... mSinituknnmasn jukwaa lake nimepek sijapat majibu