chanawaleti
Senior Member
- Jul 4, 2016
- 176
- 209
Haya mashiirika ya hifadhi yametumia fwedha za wanachama wao kwwnye uwekezaji wa kifisadi na kwenye kufadhili uovu na ufiisadi wa serikali. Hivyo yamebakiwa na madeni mengi kuliko uwezo kifedha ndipo yamkula dili na serikali ili kujificha nyuma ya zuio la fao la kujitoaniliajiriwa kampuni moja hivi nimeifanyia kazi miaka kama mitatu ikatokea kutoelewana na boss kwa maslahi nikaandika barua ya kuacha kazi mwenyewe sasa barua Ile walinipa kwa kuwa nilikua nakatwa makato na kuwekwa kwenye mfuko wa ppf na kama ml 5hv kwa sasa nimeamua nijiajiri sasa kwenda ppf pale Morocco walichonijibu kwa dharau sana kuwa sasa hivi fao la kujitoa limezuiliwa na haielewek ni mpaka lin au niwe na miaka 55now ndio kwanza nina 28 na tayari naumwa presha nk natakiwa vipimo vya scg na eco na CT scan nashindwa nipateje hizo ela zangu kama Kuna mtu mwenye ushauri au anajua njia ya kufanya anisaidie tafadhal
Yaninashidwa kuwelewa hivi wanaahadi namungu kuwa nitafikisha miaka 55 hapa kuna kunyimwa kabisa hizihela maana kwanza maisha yasasahivi nimagumu sana magojwa kibao eti mpaka miaka 55 mh!Haya mashiirika ya hifadhi yametumia fwedha za wanachama wao kwwnye uwekezaji wa kifisadi na kwenye kufadhili uovu na ufiisadi wa serikali. Hivyo yamebakiwa na madeni mengi kuliko uwezo kifedha ndipo yamkula dili na serikali ili kujificha nyuma ya zuio la fao la kujitoa
Hilo ni kusudio la kuficha kufilisiwa kwa mifuko hiyo