wadau nilipata kaz kupitia sekretariat ya ajira nikapangwa halmashaur nipo mzigon tayar pia nimepata tume ya utumish wa mahakama zote ni post ya Hr. sijui upande wa mahakama pakoje. ahsanten wadau ikumbukwe niljkaa kitaa miaka 3 MUNGU akifungua njia hazuiliki ha wadau msikate tamaa ahsanten
Tulia tu huko Mzee hazina ndo wanakokutambua vinginevyo utalia na kusaga meno.