kuna mtu ana iphone sasa anataka kurestore ili aondoe information za aliyekua anatumia lakin anaogopa kwamba inaweza kumdai apple id au pamoja na password ambazo yy hazijui sasa afanyaje?
kuna mtu ana iphone sasa anataka kurestore ili aondoe information za aliyekua anatumia lakin anaogopa kwamba inaweza kumdai apple id au pamoja na password ambazo yy hazijui sasa afanyaje?