Wadau habari za majukumu kuuliza si ujinga kunajamaa yangu yuko na iphone 6 plus kinachonishangaza ni intenal storage mi nimekuwa nikijua kwenye six plus kuna Gb 16,64 na 128 hii 32 sijawahi kuonana nayo vipi hii ni kweli ipo na ilikuaje ikaongezwa maana maelezo nimekuwa nikichukuaga gsmarena na hii sijawahi kukutana nayo mwenye kuwa na maelekezo juu ya hii 32gb aitolee ufafanuzi kidigo ilikuaje kuaje mpaka ikawepo 32gb
Wadau habari za majukumu kuuliza si ujinga kunajamaa yangu yuko na iphone 6 plus kinachonishangaza ni intenal storage mi nimekuwa nikijua kwenye six plus kuna Gb 16,64 na 128 hii 32 sijawahi kuonana nayo vipi hii ni kweli ipo na ilikuaje ikaongezwa maana maelezo nimekuwa nikichukuaga gsmarena na hii sijawahi kukutana nayo mwenye kuwa na maelekezo juu ya hii 32gb aitolee ufafanuzi kidigo ilikuaje kuaje mpaka ikawepo 32gb
Sangoma hizi simu zipo na usishangae kbs ndugu yangu, I phone as iphone zipo ktk mfumo wa (GB 4 then 8, 16, 32, 64 na 128 GB ) kwa maana kwamba wanazidisha GB mara mbili yake so don't worry about it.
Sangoma hizi simu zipo na usishangae kbs ndugu yangu, I phone as iphone zipo ktk mfumo wa (GB 4 then 8, 16, 32, 64 na 128 GB ) kwa maana kwamba wanazidisha GB mara mbili yake so don't worry about it.
Okay, nimekuelewa kwa upande wa iphone 6 plus hakuna ya 32 GB capacity na kama uko kwenu ipo basi wachina wamechakachua coz watu wengine huwa hawafuatilii specifications za simu.
Okay, nimekuelewa kwa upande wa iphone 6 plus hakuna ya 32 GB capacity na kama uko kwenu ipo basi wachina wamechakachua coz watu wengine huwa hawafuatilii specifications za simu.