Msaada: Hivi ni vidonge gani?

Vidonge vya mara ya kwanza nlikuta vimevungwa kwenye tishu na hilo kopo la pili nimekuta kwenye pochi vipo sildi ndo maana nikauliza na kuhusu uzima mm n mzima kabisa maana niliemkuta navyo sio demu wangu
 
Vidonge vya mara ya kwanza nlikuta vimevungwa kwenye tishu na hilo kopo la pili nimekuta kwenye pochi vipo sildi ndo maana nikauliza na kuhusu uzima mm n mzima kabisa maana niliemkuta navyo sio demu wangu
Basi sawa,siye tuliyesoma Cuba tumekuelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…