Mkuu nakupa dawa moja hivi ambayo alitumiaga kaka yangu kabisa kipindi tupo wadogo,
Alitokwa na visunzua vingi miguuni alipelekwa hospital kubwa za wilaya, ngoma ikadunda akapelekwa hadi kule Tegeta kwa masister hali ikawa vile vile.
Siku moja tumekaa home akaja rafiki yake Mama alishangaa sana kuona vile vidude vinasumbua na vimechukua muda mrefu kupona wakati dawa yake ni ya kawaida tu.
Amini hiki ninachokwambia, alisema chukueni Mavi ya kuku yaliyokauka yasage yaweunga unga... Kisha kwenye vile visunzua fanya kama unaupaka ule unga kwa kuusugua kwenye visunzua...ndani ya wiki kadhaa tuletee mrejesho.