Ndugu yangu tatizo la low sperm count linaweza kusababishwa na vitu vingi pamoja na kuwa na kiwango kidogo cha homoni ya testosterone. Dawa ya kuongeza kiwango cha homoni hiyo mwilini ipo kwenye maduka ya madawa lakini haitolewi kiholela bali kwa ushauri wa daktari anayetambilika. Dawa hiyo hupatikana kama Methyl testosterone.
Ushauri wangu ni kujaribu kutumia tiba mbadala, tiba-lishe. Methyl testosterone inaweza kuwa na side-effects kali sana kama haikupendi (Prolonged Erection). Nimefanikiwa kuongeza kiwango cha sperm count kwa watu wengine kwa kuwashauri watumie dawa hizo za tiba-lishe. Kampuni ya dawa hizo ina ofisi yake Posta Mpya, Dar. Mgonjwa wa mwisho alikuwa na sperm count ya 6.7 na ikapanda hadi 28 katika wiki 2.
Tatizo la Upungufu wa Hormone Testesterone linaweza kutibiwa Ma-Hospitalini kwanza kabla ya mimi kukupa Dawa zangu ningekushauri uende kumuona Daktari akupime na atakupa Dawa ya kuongeza Hormone Testesterone, usipo poona unaweza kunitafuta kwa wakati wako nitaweza kukupa na Dawa ushauri mzuri ukitaka Dawa zangu bonyeza hapa.Mawasiliano