Kiziwanda chema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 289
- 478
Yupo hapa Dar es Salaam, Mbagalamaelezo hayajajitosheleza yuko mkoa gan,
Wakuu, habar za majukum
Naomba msaada toka wadau humu, Nina mdogo wangu wa Kike, anatafuta kazi, yoyote tu yeny maslah. Elimu yake labda niseme tu kaishia form4 sabab aliwahi kusoma ngaz ya Certificate ila hakumaliza kutokana ukosefu wa Ada.
Anaujuzi wa stationery sababu alishawah kufanya kazi huko.
Ikipatikana ya dukan pia ni good, direct sales pia sio mbaya.
Anaishi mbagala Zhakiem
Nitashukur kwa msaada wenu
Ramadhan Kariim
PumbaKwanini Wewe umuombee na asijiombee Yeye mwenyewe? Hivi kwa mfano ungekuwa haupo duniani ingekuwaje? au angekufuata Kaburini Kwako kisha ukafufuka na Kumuombea Ajira kisha ungerudi zako Kaburini Kuendelea Kufa kama si Kufariki? Mpaka unafikia hatua ya Kumtafutia Kazi tena ya Dukani na Stationery inaonyesha kuwa tayari ameshakomaa na ni Mtu mzima pia hivyo yampasa nae aanze Kujitegemea na Kuhangaika mwenyewe na siyo kwa Kusubiri ' Mbeleko ' ya Kaka.
Kwanini Wewe umuombee na asijiombee Yeye mwenyewe? Hivi kwa mfano ungekuwa haupo duniani ingekuwaje? au angekufuata Kaburini Kwako kisha ukafufuka na Kumuombea Ajira kisha ungerudi zako Kaburini Kuendelea Kufa kama si Kufariki? Mpaka unafikia hatua ya Kumtafutia Kazi tena ya Dukani na Stationery inaonyesha kuwa tayari ameshakomaa na ni Mtu mzima pia hivyo yampasa nae aanze Kujitegemea na Kuhangaika mwenyewe na siyo kwa Kusubiri ' Mbeleko ' ya Kaka.
Hawa watoto wa sikuhizi hawajiamini na wanasubiri hisani ya kaka, mjomba, mama, etc ndio wawapiganie katika maisha yao. kama wazazi tunapaswa kuwalea watoto katika misingi ya kujiamini katika utafutaji.
Thanx for your challenge, ila kwa mfumo mliotuchagulia wew na awamu yenu ya5, hili haliepukiki kwa njia yoyte ile. Mmetujengea mfumo wa kwmba bila connection unasugua bench miaka yoteKwanini Wewe umuombee na asijiombee Yeye mwenyewe? Hivi kwa mfano ungekuwa haupo duniani ingekuwaje? au angekufuata Kaburini Kwako kisha ukafufuka na Kumuombea Ajira kisha ungerudi zako Kaburini Kuendelea Kufa kama si Kufariki? Mpaka unafikia hatua ya Kumtafutia Kazi tena ya Dukani na Stationery inaonyesha kuwa tayari ameshakomaa na ni Mtu mzima pia hivyo yampasa nae aanze Kujitegemea na Kuhangaika mwenyewe na siyo kwa Kusubiri ' Mbeleko ' ya Kaka.
nitumie picha yake pmWakuu, habar za majukum
Naomba msaada toka wadau humu, Nina mdogo wangu wa Kike, anatafuta kazi, yoyote tu yeny maslah. Elimu yake labda niseme tu kaishia form4 sabab aliwahi kusoma ngaz ya Certificate ila hakumaliza kutokana ukosefu wa Ada.
Anaujuzi wa stationery sababu alishawah kufanya kazi huko.
Ikipatikana ya dukan pia ni good, direct sales pia sio mbaya.
Anaishi mbagala Zhakiem
Nitashukur kwa msaada wenu
Ramadhan Kariim
Hazikutoshi wewe sio bureKwanini Wewe umuombee na asijiombee Yeye mwenyewe? Hivi kwa mfano ungekuwa haupo duniani ingekuwaje? au angekufuata Kaburini Kwako kisha ukafufuka na Kumuombea Ajira kisha ungerudi zako Kaburini Kuendelea Kufa kama si Kufariki? Mpaka unafikia hatua ya Kumtafutia Kazi tena ya Dukani na Stationery inaonyesha kuwa tayari ameshakomaa na ni Mtu mzima pia hivyo yampasa nae aanze Kujitegemea na Kuhangaika mwenyewe na siyo kwa Kusubiri ' Mbeleko ' ya Kaka.
Duh watu mna assumptions za hatarJamaa atakuwa anamwombea dem wake. Hapo ukute alikula kwa ahadi kuwa atafutia kazi anajuana na wakubwa wengi.
Sasa kaja Jf......
.........Natania tu lakini.......
Duh!Jamaa atakuwa anamwombea dem wake. Hapo ukute alikula kwa ahadi kuwa atafutia kazi anajuana na wakubwa wengi.
Sasa kaja Jf......
.........Natania tu lakini.......