Salaam wadau,
Gari yangu aina Toyota kluger, check engine light inawaka, tulipo check na computer inasema engine nock.
Nimecheck plags zinachoma vizuri, no fuel licage, nimebadili air cleaner lakini bado Gari haina nguvu.
Je kuna mwenye uzoefu na tatizo hili, tupe uzoefu nifanyeje zaidi?
Natanguliza shukrani.