Umejaribu CD ngapi tofauti imeshindwa kusoma na umejaribu DVD ngapi tofauti imeweza kusoma.
Kuna kitu inaitwa backward compatibility kwamba kama imewezakusoma DVD basi ilitakiwa iweze kusoma CD bila shida. Kwa hiyo tatizo linaweza kuwa storage Media na sio storage Drive . Otherwise cheki kama ina drivers sahihi