Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,685
Msaada jamani,nina ndugu yangu alipatwa na ugonjwa wa malaria,na katika matibabu yake akatumia Quinin...lakini cha ajabu amepoteza nuru kabisa,mwanzoni aliaanza kuona "mbilimbili lkn baadae kapoteza kbs nuru...mnatazamana haoni...jamani mwenye kujua tufanyaje?mana tumejaribu tiba za hapa.na pale ktk mahospital lkn hapati unafuu.
NB:Kwa kweli huduma za afya ktk nchi yetu ni jangaaa
NB:Kwa kweli huduma za afya ktk nchi yetu ni jangaaa