Huyo ni jini mahaba omba sana kama uko kwenye ndoa hamu yamkeo itapotea nakama uko na mtaanZa gombana hakuta kuwa na maelewano so nenda kwenye maombezi watakusaidia
jiandae kuoa jini,ndg kuna dada alinipa story,toka mwaka 2005 alikuwa anaota anafanya mapenzi na mtu asiye mjua,mwisho we,akfunga ndoa naye kanisani akiwa ndoton.kilichotokea,hana hamu ya mapenz na muwewe,na kila akishika mimba zinatoka,baada ya kuzunguka kwa wataalam ikabainika ,aliolewa na jini bila kujua,sa ndo anapata tiba