malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habar wakuu naleta mrejesho wahali ya ndgu yangu wakike umri miaka45 Alie ugua ukichaa..baada yakumpeleke hospital wakampima ukimwi Hana,presha wanasema Hana
Changamoto alizokua nazo kabla yakuugua ukichaa ni ugumu wamaisha ktk kipindi hiki Cha miaka miwili,pia mwanae tegemez wakike kujifungua mtoto mwenye changamoto na kukimbiwa na mumewe... mam mtu Hana kazi mtoto Hana kazi mjukuu changomto zakiafya pesa hakuna
Je ukichaa unaweza tokea kwa changamoto hizo zamaisha ameopitia..Nini tiba yake ushauri wenu wadau
Changamoto alizokua nazo kabla yakuugua ukichaa ni ugumu wamaisha ktk kipindi hiki Cha miaka miwili,pia mwanae tegemez wakike kujifungua mtoto mwenye changamoto na kukimbiwa na mumewe... mam mtu Hana kazi mtoto Hana kazi mjukuu changomto zakiafya pesa hakuna
Je ukichaa unaweza tokea kwa changamoto hizo zamaisha ameopitia..Nini tiba yake ushauri wenu wadau