Mrejesho wa kutafuta mchumba

Toddy M,Toddy m,Toddy M.Nakuita Mara 3!!!
Bado hujazaaa Mdogo wangu.Unadhani Yeye akisoma hapa atajisikiaje.Hajataja.MTU.Uzuri au ubaya wa MTU upo machoni.
Sijasikia vizuri kama Dada yako kumnyambuaaaa hivi Mdada wa watu.Usikute muda huu analia
 
yawezekana sikua serious ila reaction yake inatia hofu unajua kabisa ni tapeli utaendelea kutaka kutapeliwa? 🙂
Pengine na yeye alikuona hivyo hivyo kama ulivyo muona wewe, ujue kwenye haya mambo kinacho takiwa nikujitoa sadaka tu ndio mambo yanaenda, lakini ukisema ngoja kwa yeye afanye hivi na kumbe yeye pia ana sema ngoja wewe ufanye vile, basi mnaishia kuonana matapeli tu na kumbe hakuna tapeli hata mmoja sema hamkuelewa chakufanya
 
Ni ngumu mtu asiyekujua kukukaribisha nyumbani dada
 
Hoja ya msingi kweli... Kunakitu kidogo sana nahisi ndio kina muharibi huyu binti, ila kwakuwa hatoi nafasi yakikijua mwacheni tu.. Ila mm nilimuelewa pungufu lake kubwa ambalo akiliacha atakuwa likable with everyone.
 
Reactions: sab
Toddy pls come PM, Kuna vitu umeongea vimenigusa... Lakini nimegundua unamjua kweli.. Pls come nataka kuongea na wewe...

Pia punguza jazba...
 
Sasa ww vitu vya PM unaleta huku mnamaliza huko huko
 
Nachoamini jf hakuna mwanaume wanaojiamini yaan ukute anajiweza, ana hata uwezo wa kupanga hata Chumba safi na sebule na bado single??? Hapana yaan nahisi wengi ni wale walomaliza chuo, wamepanga vichochoron, au wanaishi kwa mashemeji wao wanalala sebulen.

Si wote naomba mnisamehe ila huu ndo ukweli maana watu wamekuwa wakilalamika hapa.

Ukiona unamuuliza MTU una pa kuishi anasita ogopa,
Tofauti na hilo group linalojifanya liko single, labda waume za watu ndo utakuta ana unafuu ana pa kulala hata kama anapanga basi sehemu ni mzuri.

Wengi wao miaka 35 hawana hata uwezo wa kupanga Chumba na sebule.

N.b si wote jamani. Narudia tena sio woteeee Ila wengi, Maneno mengi jukwaani, ila hawana lolote.MTU anaogopa hata kumwonesha anapoishi? Kha

Nimegundua haya kutokana na mirejesho ya watu wanaotafuta wachumba wote wanalalamika.
 
Hauta kuja kuolewa hata siku moja. Hakuna mwanaume ambaye atakubali ukutane naye kwake wakati hajui we ukoje na hajaamua chochote juu yako baada ya kukuona na kukutathimini.

Nyie ni bidhaa sokoni hata Mimi siwezi kukubari kukuleta home kabla hatujaonana personally. Kwa taarifa yako wanaume wanawakimbia wanawake wengi baada ya kwenda kumpokea na kukuta ni polygon.
 
Uliprove ?? We inaonekana kajuaji sana, sasa first date unataka uje kwangu ili ugundue nini? Hata mimi sikubali ukuje kwangu kabla hatujaonana somewhere ili kama uko irregular shape nikukimbie.
 
Kwahio tulio-single ndio hatuwezi hata kupanga chumba,hatujiamini,tumepanga vichochoroni au tunalala kwa shemeji?!! Haya dada tumekuelewa ngoja tupambane na hali zetu.
 
Kwahio tulio-single ndio hatuwezi hata kupanga chumba,hatujiamini,tumepanga vichochoroni au tunalala kwa shemeji?!! Haya dada tumekuelewa ngoja tupambane na hali zetu.
Ahaaa take it easy bana ndo maana sijasema wote, bila shaka wewe uko lile kundi la sio wote.wewe hauko single wacha maneno
 
Mara nyingi penda kupanda Mbegu ya Amani.Haya mambo hutokea kweli.Wala hajadanganya.
Humu Jf kuna watu wazuri.Wengine mpaka wachumba wazuri wapo.Na wengine wapita njia.
Trust me.Jf INA kila aina ya watu na mazingaombwe yapo
Naelewaa JF Kuna watu wazuri but sio kigezo cha mada za upuuzi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…