Mrejesho, kumsahau mwenza

You got it... Very wise and the best advice .. But for now hawezi kufanya hivi because the hasira na yeye pia kutaka kubembelezwa ...To me I see both of them , they are thinking kuwa she has right to do whatever she did or doing.. Na huyu Kaka feels the same too .. Na kutegeana pia kumo... Both wanajiweka juu.. I guess we have to watch and see it how will it ends .. Thanks..
 
Ngambako, kama hatakuelewa basi tena.
Ni ujumbe mzuri sana kwa wanandoa.
Wanaume wachache sana huwafichia aibu wake zao.
 
Na nadhani huyo Mama alitaka suluhu ndiyo maaana akaenda kumshtaki jamaa kwenye hilo dawati ili akifika pale wamalize tofauti zao..Sasa nashindwa elewa ni nini walichokubaliana hadi kurudishana hme na wnaendelea kununiana..Kwenye ndoa bila kujali jinsia lazima mmoja ashuke na ajifanye mjinga ili maisha yaende...
 
Baada ya mwezi kupita mimi na wife tukiwa tumetengana nilipigiwa simu na Afande flan mwenye cheo cha Inspector na kuniomba nifike Kesho yake saa nne hasubui kitu cha police, bila kuchelewa nilifika kumbe wife alikuwa amenishitaki katika dawati la jinsia. Walitusuluhisha then wakaomba nimrudishe wife nyumban, nam nilikubaliana nao na sasa kurudi. Ila sasa ni wiki sasa katu hatuongei pamoja, tuko kitanda kimoja hatuongei, hanifungulii mlango nikirud anaegeshea tu mlango, pili chakula nakikuta chumban kwenye hotpot lkn sikigus kutokana na kukishituka, najiuliza baada ya kuja akiwa mpole yeye ndo kaongeza kabisa ukali wa kukaa kimya, nam nimeamua kukaa kimya tuone mshindi ni nan.
 
Dear ndio hivyo no one wants to be humble .. Sisi women tunapenda kubembelezwa I'm sure jamaa aki beep kidogo kwa mkewe things will be okay.. Hata mmke pia aki beep kidogo kwa mumewe things will get better. But its not good a man kununa nuna like a woman unajiaaibishe tuu bure .. Vingenevyo ammrudishe kwao tuu kwa muda hadi akiwa tayari kuongea then he can let her inn again .. Thanks..
 
jishushe, muombe msamaha na myazungumze yaishe. Kumwomba wwe msamaha hakutakuvua uanaume wako. Do it for ur own peace & happiness with ur beloved one
 
walikubaliana kutokubaliana
 
kaka naomba nikuulize swali moja tuu kabla sijakushauri; mna umri gani ndani ya ndoa? na je ndoa yenu mliifungia kanisani/msikitini au kwa DC? naomba unijibu harafu ntakushauri jambo kaka
Tuna miaka mitano kwenye ndoa,na ndoa tulifungia kwa DC SIO kanisan.
 
Wakati unasubiri ushindi,nakushauri ukanunue chupi ya chuma uwe unavaa wakati wa kulala,hakikisha unatunza ufunguo asije akauona.
 
Tuna miaka mitano kwenye ndoa,na ndoa tulifungia kwa DC SIO kanisan.


Basi hilo la kufungia ndoa kwa DC ndo chanzo cha tatizo though sio kwa kila ndoa; ndugu yangu, mimi nina miaka mi3 tu kwenye ndoa na ninamskuru Mungu kila siku najifunza namna ya kuishi na mke wangu; kaka anawake ni viumbe dhaifuu mnoo kaka; ukitumia ubabe bila kufuata busara ujue uekwisha.

kaka kwenye maisha kuna vitu vikubwa viwili; moja ni HULKA (TEMPERAMENT) na pili ni TABIA (BEHAVIOR), kaka hulka ama temperament its inborn character ambazo mtu anazaliwa nazo but behaviour its a learning chracter(s) ambazo binadamu anajifunza kutoka na mazingira yanayomzuka kwa wakati flani;

kaka jambo lolote linalotokea kwa mke wako liwe jema au baya; wewe ni lazima unakuwa mtu wa kwanza wa kupokea pongezi au kulaumiwa; swali ambalo unatakiwa ujiulize je nini kilissababisha mpaka mkeo ukamuondoa nyumbani na kwa nini hukuchukua hatua za mwanzo kabisa kusolve matatizo hayo toka mwanzo?

harafu kuna haja gani ya kuanika matatizo ya ndoa yako kwenye kadamnasi je kabla hamjafunga ndoa kwa DC ulipeleka posa na mahari kwa familia ya mkeo na mshenga wako ndoa alihusika; kwa nini hukumshirikisha toka mwanzo? na je haukuwa na wasimamizi wa ndoa ambao ndio walezi wa ndoa yenu;

kaka nakushauri tafuta mentors wa ndoa ili uweke mambo yenu sawa, na pia kaa chini na mke wako jishushe kaka hautapungukiwa na kitu bali utaongeza credit nyingi sana kwa mkeo endapo utajishusha kwake.
 
Ububu ndani ya nyumba ni sumu kali kama hulikuwa hujuwi,mashindano ya tuone nani aanze kuongea ahhh utangoja sana,vunja ukimya mpeleke kanisani kama wewe ni mkristo ama msikitini mkapate suluhu ya matatizo yenu kupitia viongozi wa dini mfurahie ndoa yenu, acha ligi ndogo
 
 
Nyie bado hamjasameheana. Inahitaji mtafute mtu mwingine tena awasuluhishe... Kama vipi nicheki inbox nije niwapige vesi wote wawili muache ushamba... Nakwambia nikiwashuluhisha jioni usiku unakula mzigo kwa raha zako...
 
Unamiaka mingapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…