Baada ya vijana kukumbwa na wimbi la kufukuzwa wamenzisha chama cha kisiasa kipya kwa kifupi cHAWADE. Katiba ipo tayari, nafasi kuu zote zipo wazi, e-mail wazalendodemokrasia@yahoo.com
Baada ya vijana kukumbwa na wimbi la kufukuzwa wamenzisha chama cha kisiasa kipya kwa kifupi cHAWADE. Katiba ipo tayari, nafasi kuu zote zipo wazi, e-mail wazalendodemokrasia@yahoo.com
Nia ya hiki chama ni kulegeza katiba na kukubali mawazo mbadala na kumpa mamlaka mtu na kupinga au kukubaliana bila kulazimishwa jambo lolote ndani ya chama bila kufukuzwa
Nia ya hiki chama ni kulegeza katiba na kukubali mawazo mbadala na kumpa mamlaka mtu na kupinga au kukubaliana bila kulazimishwa jambo lolote ndani ya chama bila kufukuzwa
Ngoma ya watoto haikeshi!kwani siku nazo hazigandi.Hii ni mihemko tu ya ujana kwani fahari ya kijana ni nguvu zake!Labda kama ujana wanaouzungumza ni wa style ya JK 2005 alipochaguliwa kuwa rais 'kijana'Kama ni ujana wa umri 18-35 au hata hadi 40 yetu macho!
Baada ya vijana kukumbwa na wimbi la kufukuzwa wamenzisha chama cha kisiasa kipya kwa kifupi cHAWADE. Katiba ipo tayari, nafasi kuu zote zipo wazi, e-mail wazalendodemokrasia@yahoo.com