Kila nikijaribu kuachana na mpenzi wangu inakuwa ni ngumu sijui tatizo ni nini kuachana kwangu mi na yeye kutokana na vitabia vya ajabu yani kwanza ataanza kunisumbua kwenye simu mpaka basi mwisho wa siku anabaki kuomba samahani.
We jamaa aisee, tabia zinarekebishika ungeongea maumbile, like "mwanamke kuwa na domo fulani kubwa kwenye romance anakunyonya ww" hapo ningekuunga mkono.