Poleni yanga kiwango chenu bado sana , mechi kali bongo na yenye pressure kama ya leo huwa ni ya dhidi ya simba na mnajuaga mnapigwaga ngapi ,, endeleeni kuamini na vimechi vya ruvu sijui mgambo ambavyo unakuta wachezaji hata hawajala, na wana matatizo kibao ya posho n.k nyie mkienda mnashinda 5 mnajiona mnajua ... poleni sana