Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Asante kwa mrejesho hata mini nilidhania ni kali kumbe hamna kituNmejaribu sana kuangalia uzuri wake au ukisasa wake sijaona. Home mzee aliinunua Samsung Inch 49 Smart Curved TV. nmejaribu mara kadhaa kwenda weekend kuichunguza chunguza sijaona cha kunivutia.
Basi nikajinunulia inch 52 Smart Tv Flat Screen naenjoy Maisha. Full HD ,Blu Ray na Udambwi Dambwi mwingi sana.
Labda wataalam mnambie Uzuri wa Curved TV ni nini?
Curved inaraha yake yani hata ukiwa pembeni kabsa na tv unaona vzuri Kama vizuri kama uko sawa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Curved inaraha yake yani hata ukiwa pembeni kabsa na tv unaona vzuri Kama vizuri kama uko sawa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulimwona wapiLabla angekuja Magufuli atuambie uzuri wake, maana kwenye mechi ya taifa star na uganda nilimwona akiangalia kupitia hii tv
Kimsingi tofauti ya Flat na Curved TV kama ni za series/version moja ni ndogo sana. Picture quality, color reproduction etc. Kuna wanaosema curved ina viewing angles nzuri but kisayansi ni hoja dhaifu. Kitu cha pekee kuhusu curved screen ni ule mkunjo unaleta "wooow" factor, ina draw attention ikikaa sebuleni but changamoto zake kw mfano haipendezi kuweka ukutani kma flat TV zinavyoblend vzuri na sebule.Nmejaribu sana kuangalia uzuri wake au ukisasa wake sijaona. Home mzee aliinunua Samsung Inch 49 Smart Curved TV. nmejaribu mara kadhaa kwenda weekend kuichunguza chunguza sijaona cha kunivutia.
Basi nikajinunulia inch 52 Smart Tv Flat Screen naenjoy Maisha. Full HD ,Blu Ray na Udambwi Dambwi mwingi sana.
Labda wataalam mnambie Uzuri wa Curved TV ni nini?
Zote ni sawa hata kama uko pembeni very cool tena upate curve inch 65--
Kimsingi tofauti ya Flat na Curved TV kama ni za series/version moja ni ndogo sana. Picture quality, color reproduction etc. Kuna wanaosema curved ina viewing angles nzuri but kisayansi ni hoja dhaifu. Kitu cha pekee kuhusu curved screen ni ule mkunjo unaleta "wooow" factor, ina draw attention ikikaa sebuleni but changamoto zake kw mfano haipendezi kuweka ukutani kma flat TV zinavyoblend vzuri na sebule.
Mwisho wa siku kila consumer ana choices zake, no hard feelings.
Sent using Jamii Forums mobile app
I can summarize all this in one sentence, "A Curved screen is more of a marketing cosmetic than a real innovation!"Kimsingi tofauti ya Flat na Curved TV kama ni za series/version moja ni ndogo sana. Picture quality, color reproduction etc. Kuna wanaosema curved ina viewing angles nzuri but kisayansi ni hoja dhaifu. Kitu cha pekee kuhusu curved screen ni ule mkunjo unaleta "wooow" factor, ina draw attention ikikaa sebuleni but changamoto zake kw mfano haipendezi kuweka ukutani kma flat TV zinavyoblend vzuri na sebule.
Mwisho wa siku kila consumer ana choices zake, no hard feelings.
Sent using Jamii Forums mobile app
Personally ulichokiona ndio hata mimi nilichokiona. Nilikuwa na option ya kuchagua kati ya curved na flat screen kipindi nanunua screen.Nmejaribu sana kuangalia uzuri wake au ukisasa wake sijaona. Home mzee aliinunua Samsung Inch 49 Smart Curved TV. nmejaribu mara kadhaa kwenda weekend kuichunguza chunguza sijaona cha kunivutia.
Basi nikajinunulia inch 52 Smart Tv Flat Screen naenjoy Maisha. Full HD ,Blu Ray na Udambwi Dambwi mwingi sana.
Labda wataalam mnambie Uzuri wa Curved TV ni nini?
Ubaya itawahi kutoka kwenye fashion halafu itaishia kukuboa tu! Ni TV ya mbwembwe ila the real ones are all flat. Hazitakaa zichuje!Curved inaraha yake yani hata ukiwa pembeni kabsa na tv unaona vzuri Kama vizuri kama uko sawa nayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmejaribu sana kuangalia uzuri wake au ukisasa wake sijaona. Home mzee aliinunua Samsung Inch 49 Smart Curved TV. nmejaribu mara kadhaa kwenda weekend kuichunguza chunguza sijaona cha kunivutia.
Basi nikajinunulia inch 52 Smart Tv Flat Screen naenjoy Maisha. Full HD ,Blu Ray na Udambwi Dambwi mwingi sana.
Labda wataalam mnambie Uzuri wa Curved TV ni nini?
Kwanini usibebe TCL mkuu iko poa sana mbadala wa HITACHI na nadhani unaelewa kipindi hiko HITACHI habari yake.Wadau iv kati ya izi brqnd za heifa na hisensi ipi ni kali sana natakannichukue kitu cha LED maana nasikia smart huwa zinakufa kioo mapema alafu kioo kupqtikana ni kipengele ....Je ni kweli wadau
Smart TCL smart iko powa sana mkuu ?Kwanini usibebe TCL mkuu iko poa sana mbadala wa HITACHI na nadhani unaelewa kipindi hiko HITACHI habari yake.
Hapo sifahamu ila hawa jamaa watakupa majibu mazuri.Smart TCL smart iko powa sana mkuu ?
Na je ni kweli vioo vya smart tv kupatikana ni shida ?